GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wezi/majambazi wengi uwa wanadakwa au kufa kwa mazoea, raia wakishaibiwa sana ujipanga na kuweka mikakati ya kunasa wezi na majambazi kiuraini sanaIkifikia kipindi cha usajili, mnapiga sana taarabu, mipasho na vijembe kwa jirani ila ligi ikianza mnaanza vilio vya bahasha, kisha mnakuja kwa fair play, kisha mnakuja kutimua kocha na mwishoni mnamalizia kwa Mangungu.
Tusisikie Mangungu out pale ligi ikianzaWezi/majambazi wengi uwa wanadakwa au kufa kwa mazoea, raia wakishaibiwa sana ujipanga na kuweka mikakati ya kunasa wezi na majambazi kiuraini sana
Haya mazoea na hizi kauli zenu za kukalili, mjipange kisaikorojia msije kufa kwa presha
Nabii hakubaliki kwao, ila Mamelodi, Belouizdad na Al Ahly walikutana kazi ngumu kwa Yanga ila kwavile hamtaki kuonekana ni viande kwa Yanga basi endelea kujifariji kuwa Yanga wanashinda kwa ujanja ujanja wa kuhonga na uchawi.Wezi/majambazi wengi uwa wanadakwa au kufa kwa mazoea, raia wakishaibiwa sana ujipanga na kuweka mikakati ya kunasa wezi na majambazi kiuraini sana
Haya mazoea na hizi kauli zenu za kukalili, mjipange kisaikorojia msije kufa kwa presha
Nyuma mwiko mkuumianya yote ya Tigo Pesa,
Utupatie kwanza mrejesho wa zile siku 14 ulizomtaka Mwenyekiti wako kujiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe, kama tayari zimeisha au bado! Maana kuna watu humu jukwaani, huwa wanahisi unaonewa eti pale unapoitwa Popoma.Kudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
Mie kama wamemzuia yule mganga wao wa bagamoyo fresh tu wapigwe, ila kama hawajamzuia tutavuruga sherehe,,,,hawa waganga wa Yanga wametesa sana watuKudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
"Mangungu must go" walisikika makolo pale Msimbazi.Kudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
Endelea tu kujaa taratibu katika 18 zangu ili ukipate kile ambacho Wenzako wamekipata na sasa wanajuta huko waliko.Utupatie kwanza mrejesho wa zile siku 14 ulizomtaka Mwenyekiti wako kujiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe, kama tayari zimeisha au bado! Maana kuna watu humu jukwaani, huwa wanahisi unaonewa eti pale unapoitwa Popoma.
Umbumbumbu ni mzigo,sijawahi sikia timi inakuwa ma kauli mbiu kila msimu.Najua,Never walk alone,Halls Madrid nk,hazibadiliki lakini kwenye mtumbwi wa vibwengo kauli mbiu kila msimu na mengine hara hayana ma ana.Kudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
😂😂Popoma ana ugonjwa wa kusahauUtupatie kwanza mrejesho wa zile siku 14 ulizomtaka Mwenyekiti wako kujiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe, kama tayari zimeisha au bado! Maana kuna watu humu jukwaani, huwa wanahisi unaonewa eti pale unapoitwa Popoma.