Endelezeni kwenu- Pinda

Mtanzania

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2006
Posts
4,816
Reaction score
684
Nyie wana JF endelezeni kwenu na sio kujichimbia Ulaya na Dar tu kwi kwi kwi!!!!
 
Asije akawa anajianda kutumia kauli hiyo kuanza kusukumia kila kitu kwao na kusahau kuwa yeye ni waziri Mkuu wa Tanzania
 
Asije akawa anajianda kutumia kauli hiyo kuanza kusukumia kila kitu kwao na kusahau kuwa yeye ni waziri Mkuu wa Tanzania

Mkuu Mpita Njia,

Cha kumuuliza ni yeye kafanya nini huko kabla ya kuwa PM? Kusema rahisi lakini kutenda kazi kweli.

Mimi ni mwumini wa kusogeza maendeleo mpaka kule wilayani kwahiyo nakubaliana naye juu ya wito huu.

Kule Rukwa wanasema ukitaka kurudi lazima upitie bagamoyo kwanza, vinginevyo mchana ni binadamu na usiku unakuwa punda mbeba mizigo. Ni ujinga tu uliozidi kikomo, wanatisha watu kwa uchawi mchwara ambao haupo!
 
[quote
Mbunge wa Kwela Crisant Mzindakaya aliwaeleza wazawa wa mkoa huo kuwa wakifanya mchezo wageni watauvamia na kuwekeza miradi yao.
[/quote]

Hizi kelele za uzawa wa kimikoa ni hatari. Wao ''wakivamia'' Dar es Salaam ni sawa, kwao hawataki 'tuvamie''! Sielewi
 
kwanza waamie dodoma makao makuu ya nchi....
 
Dar haina wenyewe, ni yetu wote, huko mikoani ndiko kuna wenyewe. Neno uzawa naona linaanza kutumika vibaya. Mtanzania yoyote ana haki ya kuishi popote pale anapotaka.

Sisi kule kwetu Kyela tunatimua Wakinga eti sio wazawa, ni ubaguzi mtupu!
 
Dar haina wenyewe, ni yetu wote, huko mikoani ndiko kuna wenyewe. Neno uzawa naona linaanza kutumika vibaya. Mtanzania yoyote ana haki ya kuishi popote pale anapotaka.

Sisi kule kwetu Kyela tunatimua Wakinga eti sio wazawa, ni ubaguzi mtupu!

Dar ina wenyewe. Kilichofanya watu kuhamia dar ni kutafuta economic means. Na huko kwa mnakoita kwa wenyewe, watu wanashindwa kuhamia, kurudi au kujenga ni kwa sababu hakuna chachu za kuendesha engine za maendeleo. Zikiwepo basi watu watahamia na watajenga tu.

Na kilicho sababisha sehemu nyingi kutokuwa na chachu za maendeleo ni kuanza kujenga ofisi za chama kwanza.
 
Dar haina wenyewe, ni yetu wote, huko mikoani ndiko kuna wenyewe. Neno uzawa naona linaanza kutumika vibaya. Mtanzania yoyote ana haki ya kuishi popote pale anapotaka.

Sisi kule kwetu Kyela tunatimua Wakinga eti sio wazawa, ni ubaguzi mtupu!

Dar ina wenyewe. Kilichofanya watu kuhamia dar ni kutafuta economic means. Na huko kwa mnakoita kwa wenyewe, watu wanashindwa kuhamia, kurudi au kujenga ni kwa sababu hakuna chachu za kuendesha engine za maendeleo. Zikiwepo basi watu watahamia na watajenga tu.

Na kilicho sababisha sehemu nyingi kutokuwa na chachu za maendeleo ni kuanza kujenga ofisi za chama kwanza.
 
Yap, naona sasa viongozi wetu wanalewa... ni aibu kubwa kwa wazirri mkuu kuwaambia wananchi waendeleze makwao..ikwa namna yoyote ile itatafsirika vibaya sana..Sasa naanza kuamini pengine madaraka wengi wamechukua bila kuwa na sifa zinazostahili..
 
Yap, naona sasa viongozi wetu wanalewa... ni aibu kubwa kwa wazirri mkuu kuwaambia wananchi waendeleze makwao..ikwa namna yoyote ile itatafsirika vibaya sana..Sasa naanza kuamini pengine madaraka wengi wamechukua bila kuwa na sifa zinazostahili..

Bob umeendeleza kwenu. Kwetu mi narudi kutambika na kupalilia makaburi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…