Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #21
"The reshuffle has consolidated G7 as a de facto opposition. It has been dismissed by both principals. It is very clear that the leader of the opposition will emerge to be William Ruto and the leaders of the G7 will contest the next elections essentially from the standpoint of opposition."
Kenya effect ya udini kwa mantiki ya Ukristo na uislam ni ndogo sana, kutokana na sensa rasmi ya mwaka 2009, Wakenya walijitambulisha kwa dini zao kama ifuatavyo;
Christian-Protestant 48%
Roman Catholic 23%
Other Christians 12%
Muslims 11%
Indigenous beliefs 2%
Others 4%
Hivyo kwa mchanganuo huu utaona kuwa Wakristo ni almost 83% wakati Waislam ni 11% tu..
<br /><br />Haya mkuu nimekubali yaishe! Hakika Kenya unaijua vizuri na haubahatishi.Nadhani hata hii jumuiya ya Africa mashariki itakuwa kama urafiki wa mashaka vile kwani wenzetu ni wabaguzi sana.