Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 25
USISAHAU KUWA YANATAKIWA KUTEMWA NA WAZUNGU! Ole wako wewe mbongo ukateme, utakiona cha mot na barabara wala haitengenezwi.Kama vipi tuwakodishe wazungu wengine wafanye hiyo hkazi ya kutemea mate trafiki.
nafikiri tuunganishe ya kwanza na ya pili halafu tuongeze vkorombwezo kidogo. japo ni ndefu, lain ni comprehensive enough,napendekeza isomeke hivi:
"mate: silaha muhimu ya wanamtandao katika kufanya maamuzi magumu ya kuharakisha maendeleo ya miundombinu bora pamoja na kuimarisha mahusiano ya kimataifa na nchi wahisani ili kuwinda misaada kisawasawa baada ya rasilimali zetu kuwaachia wachukuaji wanaoitwa wawekezaji"
wazo zuri sana.
tunaweza kuanza kampeni sasa hivi tuianzia na wazungu tulionao kwa sasa nchini, ya kumtaka kila mzungu amtemee mate angalau mtendaji mmoja wa serikali kila kwa mwezi ili kuharakisha maendeleo,
Lile eneo la Ukonga Banana ambalo mwana-ubalozi wa Canada alimtemea trafiki mate lilianza kutengenezwa tangu Ijumaa (11.12.2009), siku moja tu baaba ya tukio. Sijui ni kwa sababu ya tukio hilo au ni matengenezo ya kawaida lakini panapotengenezwa ni pale kituoni Banana-ukonga tu (palipokuwa na tukio la kutemea mate). Maaskari pia wameongezwa sehemu ile. Sasa hivi foleni kubwa iliyokuwepo imepungua sana.
Nakumbuka alimtemea pia mwandishi Jeri Muro wakati akimpiga picha kituo cha polisi, vipi nacho wamenza kukikarabati? kama bado ni vema tuwakumbushe waende na huko pia
Tuwaonyeshe wazungu ilala na kariakoo wakateme mate na huko ili paboreshwe
USISAHAU KUWA YANATAKIWA KUTEMWA NA WAZUNGU! Ole wako wewe mbongo ukateme, utakiona cha mot na barabara wala haitengenezwi.Kama vipi tuwakodishe wazungu wengine wafanye hiyo hkazi ya kutemea mate trafiki.
kama trafik tu na jeri muro, mambo yameenda hivi, sipati picha mwenye nchiDawa ya maamuzi magumu ni mate.............usoni!!bado JK sasa...
Lile eneo la Ukonga Banana ambalo mwana-ubalozi wa Canada alimtemea trafiki mate lilianza kutengenezwa tangu Ijumaa (11.12.2009), siku moja tu baaba ya tukio. Sijui ni kwa sababu ya tukio hilo au ni matengenezo ya kawaida lakini panapotengenezwa ni pale kituoni Banana-ukonga tu (palipokuwa na tukio la kutemea mate). Maaskari pia wameongezwa sehemu ile. Sasa hivi foleni kubwa iliyokuwepo imepungua sana.
Hii ishu ilikuwa kwenye mpango siku nyingi. lakini kwa namna moja ama nyingine, kuandikwa kwake kutokana na tukio hili kumesababisha wahusika waamke!
Palikuwa na shida sana pale mahala maana parking ni ya shida mno, na ukiunganisha na ile junction ya Kitunda, Pia na rafiki zangu wauza mayai wa Machimbo inakuwa "triple-trouble".
hivi banana ukonga ni mbele ya kule Magereza, hebu nifafanulieni kidogo wakazi wa Dar es salaam.
Ukifanya hivyo wewe mbongo, utakiona cha moto,Du mkubwa naona tuteme tu ata sisi wabongo...
kama ndo njia pekee ya kuleta mabadiliko!
...Kwani ni kila mate tu mkuu?? Mi nadhani ni mate ya wale wakoloni then watu wanakwenda mbio!!mambo ya bongo bwana!!!!!!!!!!!!
kumbe mate nayo yanasaidia kuzindua wanamtandao?????????!!!!!!!!!
nafikiri mwakani baada ya uchaguzi muu, mate yatemwe kwa wingi sana na yaanze kutemwa mara moja!!!
Lile eneo la Ukonga Banana ambalo mwana-ubalozi wa Canada alimtemea trafiki mate lilianza kutengenezwa tangu Ijumaa (11.12.2009), siku moja tu baaba ya tukio. Sijui ni kwa sababu ya tukio hilo au ni matengenezo ya kawaida lakini panapotengenezwa ni pale kituoni Banana-ukonga tu (palipokuwa na tukio la kutemea mate). Maaskari pia wameongezwa sehemu ile. Sasa hivi foleni kubwa iliyokuwepo imepungua sana.