Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipo kibwegere mkuu unavuka ule mto n 30 Kwa 29 m 6 km upo fresh kesho twendeWakuu kwa Mil 3- 5 naweza pata kiwanja cha makazi kwa maeneo tajwa hapo juu ?
Unapita hii njia ya lami mpya ?Lipo kibwegere mkuu unavuka ule mto n 30 Kwa 29 m 6 km upo fresh kesho twende
Njoo inbox mkuu km upo nauitajiUnapita hii njia ya lami mpya
Eneo lipo Kiluvya madukani ukishuka pale Pikipik buku tu nicheki kwa 0656652250Wakuu kwa Mil 3- 5 naweza pata kiwanja cha makazi kwa maeneo tajwa hapo juu ?
Kibwegere ipi hiyo kaka labda kuanzia kwa kisima kwenda mbele huko ila kutoka kwa kisima kurudi kibamba huku aah ngumu mnoWakuu kwa Mil 3- 5 naweza pata kiwanja cha makazi kwa maeneo tajwa hapo juu ?
Ndio mkuu nina uhitaji sio issue ya kificho please nielekeze hapaNjoo inbox mkuu km upo nauitaji
habari. bado unacho kiwanja. ukubwa wake, na umbali kutoka Madukani kilometer ngapiEneo lipo Kiluvya madukani ukishuka pale Pikipik buku tu nicheki kwa 0656652250
Akuelekeze wakati ye dalaliNdio mkuu nina uhitaji sio issue ya kificho please nielekeze hapa
Umeshapata?Mimi pia nahitaji kiwanja ila kiwe na ukubwa wa square mita kuanzia 800 hadi 1200, maeneo ni either Kibamba shule, Kibamba Chama, au Gogoni na bajeti yangu inaanzia Millioni 5 mwisho 10 mill.
Natanguliza shukrani wakuu.
Bado sijapata mkuuUmeshapata?
mkuu unacho? kiko wapi, ukubwa gani na bei gani?Umeshapata?
Kilikuwepo,kimeuzika mkuu. Unahitaji cha ukubwa gani?mkuu unacho? kiko wapi, ukubwa gani na bei gani?
Mlandizi VikurutiMimi pia nahitaji kiwanja ila kiwe na ukubwa wa square mita kuanzia 800 hadi 1200, maeneo ni either Kibamba shule, Kibamba Chama, au Gogoni na bajeti yangu inaanzia Millioni 5 mwisho 10 mill.
Natanguliza shukrani wakuu.
Kiwanja kinauzwa kipo kisemvule-kibamba kina msingi wa vyumba viwili kimoja masters, jiko, sitting roommkuu unacho? kiko wapi, ukubwa gani na bei gani?