Eneo la biashara linapangishwa mwenge...bei 200000 kwa mwezi

vumiliag

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
413
Reaction score
764
Habari zenu wakuu...
Napangisha eneo la biashara lipo mwenge karibu na geti la kuingilia stendi inayojengwa (karibu na ilipokua tamari hotel)

Hili eneo nlipangishwa kama eneo la wazi nikalitengeneza kwa gharama zangu .....sasa nmepata eneo kubwa zaidi hivyo nmehama nmeamua kupapangisha sababu mwenye eneo ajarudisha gharama zangu.
No 0787777338

Bei ni 200000 ×12
 
Bei mserereko Sana hyo, ungetupia na picha , we jamaa hutaki madalali wale , mana ilikuwa ni issue ya sekunde mbili tuu kupata mteja
 
Bei mserereko Sana hyo, ungetupia na picha , we jamaa hutaki madalali wale , mana ilikuwa ni issue ya sekunde mbili tuu kupata mteja
Tilia mkazo kua ni eneo la wazi, waweza kuta ni kwe service road labda
 
Tilia mkazo kua ni eneo la wazi, waweza kuta ni kwe service road labda
Yaani ilikua ni eneo la wazi kwa maana ya kwamba ni mpaka kati ya nyumba moja na nyingine hivyo nlikuta wameweka geti mm ndio nikatengeneza sio barabarani kabisa kutoka barabarani nyumba ya pili yake
 
Linafaa kwa biashara gani?
Mm nlikua nafanyia mgahawa ....kuna mtu nlimwachia afanye kama stoo yakuwekea mabalo ya mitumba sasa kapata eneo karibu na ofisi yake
 
Eneo lilikua la wazi nmejenga sio sehem yakubobolewa ilikua ni sehem ina geti tu kuziba uwazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…