Eneo la biashara linapangishwa mwenge...bei 200000 kwa mwezi

Hahahaha
Kuna mtu anauziwa kesi hapo
 
Acha kurahisisha vitu nimuuzieje kesi mtu wakati ni sehem ilikua ya parking nikajenga imekua frem ....sio sehem ya barabarani
ili mambo yasirahisishwe weka maelezo mazuri.

Mkataba unasemaje na kama wewe siyo mmiliki una nguvu gani kupangisha?


Hela yako irudi kiasi gani?
 
ili mambo yasirahisishwe weka maelezo mazuri.

Mkataba unasemaje na kama wewe siyo mmiliki una nguvu gani kupangisha?


Hela yako irudi kiasi gani?
Kwani hujui kusoma mkuu?? Nmeshatoa maelezo hapo juu....eneo lilikua ni wazi yaan mwenye nyumba aliliacha kama mpaka kati yake na jiran hivyo alikua kaweka geti mm nikajenga kama frem nlikua nafanya biashara ya chakula nikapata eneo kubwa zaidi hivyo kupunguza gharama siwezi kulipa huku na huko na mwenye nyumba analijua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…