Plot4Sale Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

Plot4Sale Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

ntakisigae

Senior Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
186
Reaction score
66
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa mhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

0BD59B97-2F38-4990-A808-535CAB762DC8.jpeg
13A21268-266D-473D-A683-95C8CE951BE8.jpeg
CF9B45AB-7468-4DFB-A3A2-F94DBECCA1E8.jpeg
 

Attachments

  • 479EE252-3AA7-4E31-9B88-A9F9C3FF1D54.jpeg
    479EE252-3AA7-4E31-9B88-A9F9C3FF1D54.jpeg
    1.2 MB · Views: 7
  • 6BAE4743-FDEC-445C-8AF9-652AE0C48B54.jpeg
    6BAE4743-FDEC-445C-8AF9-652AE0C48B54.jpeg
    1.5 MB · Views: 4
Back
Top Bottom