Bia batta
Member
- Aug 18, 2015
- 66
- 34
Eneo la hekari 53 lenye hati, liko bunju kialaka 1.8 km toka barabara ya bagamoyo kona ya kuingilia Lord Baden powell/Efatha seminary secondary school.
Eneo lina hati ya jumla na sasa liko kwenye mchakato wa kugawanywa kwenye maeneo madogo madogo ya heka 2 au tatu na hati kugawanywa kwa kila kipande kuwa na document yake...Eneo liko limepakana na hotel ya ndoto polepole na ni mita kadhaa toka unapojengwa uwanja mpya wa simba sports club chini ya bilione Mo Dewji.
Eneo linafaa kwa matumizi ya makazi na kibiashara (ie projects kama shule, nyumba za ibada hostels, hotels, go-downs na hata kujenga campus ya university au college) bei kwa eka ni milioni 35 thou price ni negotiable...kwa maelezo zaidi contact: 0713480118.
Eneo lina hati ya jumla na sasa liko kwenye mchakato wa kugawanywa kwenye maeneo madogo madogo ya heka 2 au tatu na hati kugawanywa kwa kila kipande kuwa na document yake...Eneo liko limepakana na hotel ya ndoto polepole na ni mita kadhaa toka unapojengwa uwanja mpya wa simba sports club chini ya bilione Mo Dewji.
Eneo linafaa kwa matumizi ya makazi na kibiashara (ie projects kama shule, nyumba za ibada hostels, hotels, go-downs na hata kujenga campus ya university au college) bei kwa eka ni milioni 35 thou price ni negotiable...kwa maelezo zaidi contact: 0713480118.