edwin89
Member
- Apr 12, 2016
- 95
- 99
Kilio hiki ni Cha wakazi wa magole, kitunda dar es salaam. Kumekuwa na changamoto ya umeme mdogo kwenye eneo la magole kwa mpemba mchafu .
Hili tatizo linadumu zaidi ya miaka 2 sasa. Matumizi yameongezeka lakn Tanesco hawajabadili transforma, umeme ni mdogo hata friji na pampu za maji haziwaki, tunaomba Tanesco ofisi ya gongo la Mboto hatua za haraka kutatua tatizo hili.
Ahsante.
Hili tatizo linadumu zaidi ya miaka 2 sasa. Matumizi yameongezeka lakn Tanesco hawajabadili transforma, umeme ni mdogo hata friji na pampu za maji haziwaki, tunaomba Tanesco ofisi ya gongo la Mboto hatua za haraka kutatua tatizo hili.
Ahsante.