Eneo la viwanda la Huawei lazinduliwa nchini Angola

Eneo la viwanda la Huawei lazinduliwa nchini Angola

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Hafla ya uzinduzi wa Eneo la Viwanda la Huawei imefanyika jana jumanne wiki hii katika mji mkuu wa Angola, Luanda, na kuhudhuriwa na rais wa nchi hiyo, João Lourenço.

Kwenye hafla hiyo, Angola na kampuni ya Huawei zilisaini makubaliano kuhusu kuwaandaa watu wenye ujuzi wa kidigitali. Kutokana na makubaliano hayo, Chuo cha Teknolojia ya TEHAMA (ICT) cha Huawei kitatoa mafunzo kwa wanafunzi zaidi ya elfu kumi ndani ya miaka 5.

1668573859389.png

图像_2022-11-16_124349839.png


图像_2022-11-16_124400679.png
 
Back
Top Bottom