Eneo lenye ukubwa wa square meter 10,000 lipo karibu na ziwa yaani ukisimama kiwanjan una view eneo la ziwa kwa uzuri zaidi lina nyumba ndani yake kama tatu mawe ya kutosha kwa ujenzi na kwa kuuza pia Eneo lipo Luchelele ziwani maeneo ya shadi kiwanja kimepimwa na kina documents zote halali waweza kujenga nyumba za kitalii au pia kujenga nyumba ya kuishi na kuweka miradi mbali mbali kama ufagaji bei ya eneo lote pamoja na nyumba zote ni milion 40 tu kwa mawasiliano zaidi tafadhali Whatsapp or call 0763772636
Eneo lenye ukubwa wa square meter 10,000 lipo karibu na ziwa yaani ukisimama kiwanjan una view eneo la ziwa kwa uzuri zaidi lina nyumba ndani yake kama tatu mawe ya kutosha kwa ujenzi na kwa kuuza pia Eneo lipo Luchelele ziwani maeneo ya shadi kiwanja kimepimwa na kina documents zote halali waweza kujenga nyumba za kitalii au pia kujenga nyumba ya kuishi na kuweka miradi mbali mbali kama ufagaji bei ya eneo lote pamoja na nyumba zote ni milion 40 tu kwa mawasiliano zaidi tafadhali Whatsapp or call 0763772636View attachment 1172763View attachment 1172765View attachment 1172766View attachment 1172767View attachment 1172768View attachment 1172769View attachment 1172770
Lakini kama naona sehemu kubwa ni mlima wa miamba sehemu yatambalale ndogo sana na hizo nyumba husizihesahabu lazma mtu mwenye kua na 40m atazivunja Kwanza......sema bei nzuri bila hizo nyumba