Eneo linalotosha kujenga shule

JF2050

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
2,085
Reaction score
44
Eneo ukubwa gani linakubalika kwa mjibu wa sheria za sera ya elimu Tanzania kujenga shule ya sekondari jijini, mjini na vijijini?
 
Eneo ukubwa gani linakubalika kwa mjibu wa sheria za sera ya elimu Tanzania kujenga shule ya sekondari jijini, mjini na vijijini?
ENEO LINAUZWA

Ukubwa Ekari 8

Limepimwa na kusajiliwa kwa ajili ya UJENZI WA SHULE linauzwa

Lipo mkoani Morogoro, Kata ya Lukobe.

Jumla mita za mraba 31,383m

Kila Mita ya Mraba Tshs 6,000/= Sawa Tshs 188M

Bei inashuka maelewano pungufu unaongea.

Kuna fursa ya Umeme, Maji, Barabara na Mlima wenye Mawe ya Kujengea NK.

Karibuni saana

Mawasiliano 0657669512
 
Eneo ukubwa gani linakubalika kwa mjibu wa sheria za sera ya elimu Tanzania kujenga shule ya sekondari jijini, mjini na vijijini?
Nakumbuka mara ya mwisho ilikuwa heka 3 ndio unapewa kibali,sijui kwa sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…