syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
habari ndugu wa jf.
nina eneo langu lipo Itez Uyole Mbeya karibu na reli,lina ukubwa wa 60x125mita naliuza kwa bei ya 23 milion.eneo halina hati ila lina documents zote zinazo support na kuonesha kama mmiliki ni mimi,pia kwa kujihakikishia kabla hujanunua tunapata kibari kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa.
NB eneo ni langu na halina udalali, maongezi ya bei yapo kidogo.
View attachment 1978908
nina eneo langu lipo Itez Uyole Mbeya karibu na reli,lina ukubwa wa 60x125mita naliuza kwa bei ya 23 milion.eneo halina hati ila lina documents zote zinazo support na kuonesha kama mmiliki ni mimi,pia kwa kujihakikishia kabla hujanunua tunapata kibari kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa.
NB eneo ni langu na halina udalali, maongezi ya bei yapo kidogo.