Eneo linauzwa! Lipo mbezi-luis,dar es salaam.

Eneo linauzwa! Lipo mbezi-luis,dar es salaam.

Diccky4

Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
30
Reaction score
2
Eneo la kutosha linauzwa,lipo MBEZI-LUIS,mkoa wa DAR ES SALAAM,WILAYA YA KINONDONI,KATA YA MBEZI.Tuwasiliane kwa 0713-507181 au email adres diccky4@ovi.com
 
Mkuu ni vizuri kuweka taarifa za kutosha ili kuepuka wanajamvi kukuignore kwa kukosa info stahiki;-
-weka size ya kiwanja.
-kimepimwa au la
-kama kimepimwa kina doc ipi aidha hati au ofa.
-Lipo karibu na nini mathalani umbali toka Morogoro Road ama eneo lolote maarufu as a reference point.
-wewe ni nani kwa hilo eneo mathalani mwenye mali au midman n.k
-Unaweza kutupia japo picha
-bei ya kiwanja ni ngapi,

Hiyo inasaidia mtu kujua kama kilichopo kinakidhi mahitaji yake au la,na kuona umuhimu wa kupiga simu au kukupm.
Jitahidi kwa hayo machache mkuu.
 
Back
Top Bottom