Eneo la kutosha linauzwa,lipo MBEZI-LUIS,mkoa wa DAR ES SALAAM,WILAYA YA KINONDONI,KATA YA MBEZI.Tuwasiliane kwa 0713-507181 au email adres diccky4@ovi.com
Mkuu ni vizuri kuweka taarifa za kutosha ili kuepuka wanajamvi kukuignore kwa kukosa info stahiki;-
-weka size ya kiwanja.
-kimepimwa au la
-kama kimepimwa kina doc ipi aidha hati au ofa.
-Lipo karibu na nini mathalani umbali toka Morogoro Road ama eneo lolote maarufu as a reference point.
-wewe ni nani kwa hilo eneo mathalani mwenye mali au midman n.k
-Unaweza kutupia japo picha
-bei ya kiwanja ni ngapi,
Hiyo inasaidia mtu kujua kama kilichopo kinakidhi mahitaji yake au la,na kuona umuhimu wa kupiga simu au kukupm.
Jitahidi kwa hayo machache mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.