Haji Mashaka Nassoro
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 384
- 850
Mindu ni km 5 kutoka Msamvu stendi huwezi kupata heka 20 kwa pamoja.Lipo karibu na bwawa la Mindu?, nahitaji mandhari ya ufukwe Fulani!
Unafika Kona ya kwenda kimamba?View attachment 2790613
Ama kweli nchinimejaaliwa hii. Yaani bei ya ekari moja ni sh laki 2 na elfu 40 tu (240,000) !!!!?
Halafu kuna majinga yanadanga, yanabet na kucheza pool yakidai eti Tanzania hakuna ajira
Itakuwa kupita Sangasanga hiyo...Mindu ni km 5 kutoka Msamvu stendi huwezi kupata heka 20 kwa pamoja.
Mkuu mcheki kwenye hiyo namba ya simu hapoUnafika Kona ya kwenda kimamba?
Hapo si ni Melela, itakuwa nyuma...Unafika Kona ya kwenda kimamba?
Ama kweli wewe hujui hesabu ndo maana ukawa sexless, sio milioni sita ni million 60View attachment 2790613
Ama kweli nchinimejaaliwa hii. Yaani bei ya ekari moja ni sh laki 2 na elfu 40 tu (240,000) !!!!?
Halafu kuna majinga yanadanga, yanabet na kucheza pool yakidai eti Tanzania hakuna ajira
Ni kabla ya kona ya kwenda Kimamba panaitwa Lugono msalabaniUnafika Kona ya kwenda kimamba?
mmh! hesabu sio kwa watu wote na hamkuna tatizo katika hilo!!!View attachment 2790613
Ama kweli nchinimejaaliwa hii. Yaani bei ya ekari moja ni sh laki 2 na elfu 40 tu (240,000) !!!!?
Halafu kuna majinga yanadanga, yanabet na kucheza pool yakidai eti Tanzania hakuna ajira
Sangasanga unapita jina la Kijiji Lugono msalabani.Itakuwa kupita Sangasanga hiyo...
Lugono msalabani.Hapo si ni Melela, itakuwa nyuma...
Nina muktasari wa Kijiji hati sina.Lina hati?
yaani we ni kiande kweli kweliView attachment 2790646
Ama kweli nchi imejaaliwa hii. Yaani bei ya ekari moja ni sh milioni 2 na laki 4 tu (2,400,000) !!!!?
Halafu kuna majinga yanadanga, yanabet na kucheza pool yakidai eti Tanzania hakuna ajira
Ni 60,000,000÷20=3,000,000View attachment 2790646
Ama kweli nchi imejaaliwa hii. Yaani bei ya ekari moja ni sh milioni 2 na laki 4 tu (2,400,000) !!!!?
Halafu kuna majinga yanadanga, yanabet na kucheza pool yakidai eti Tanzania hakuna ajira
Wewe nenda ukajirudhishe. Shida iko wapi?Mbona kama umejitwalia kienyeji hilo eneo hapo road!!??
Ama kwa hakika awamu hii ya sita pesa imekua ngumu balaa watu wanalia mlio wa NOKIA.Wewe nenda ukajirudhishe. Shida iko wapi?