ntakisigae
Senior Member
- Nov 26, 2013
- 186
- 66
Eneo lipo Mkuranga mjini-Jirani na kituo cha Mafuta cha Panoni, kama mita 600 kutoka barabara ya lami.
Panafaa kwa kuweka makazi. Panafika kwa gari, umeme na maji ya Dawasco vipo mita chache.
Eneo lina miti mbalimbali kama:
1. Minazi (20)na michikichi-imepandwa pembezoni kama fensi
2. Miembe 6(embe dodo 3,embe za kawaida 3)
3. Miparachichi5
4. Mikorosho3
5.Mistafeli 8
6. Mdimu 1
7. Mananasi
8. Mipesheni
Bei ni shilingi milioni 20. Kwa mawasiliano na mazungumzo zaidi piga: 0685381338 (mmiliki).
Panafaa kwa kuweka makazi. Panafika kwa gari, umeme na maji ya Dawasco vipo mita chache.
Eneo lina miti mbalimbali kama:
1. Minazi (20)na michikichi-imepandwa pembezoni kama fensi
2. Miembe 6(embe dodo 3,embe za kawaida 3)
3. Miparachichi5
4. Mikorosho3
5.Mistafeli 8
6. Mdimu 1
7. Mananasi
8. Mipesheni
Bei ni shilingi milioni 20. Kwa mawasiliano na mazungumzo zaidi piga: 0685381338 (mmiliki).