Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,036
- 1,286
Habari wana JamiiForums,
Research study iliyofanywa na wasomi wa afya ya jamii imeonyesha kuwa vinywaji vya energy drink vinasababisha damu ishindwe kufika kwenye moyo (acute myorcardial infarction) inayosababisha shambulio la moyo (heart attack) ambapo upelekea kifo.
Tuendeleee kulinda afya zetu, atleast utumie moja kwa week au uache kabisa.
Research study iliyofanywa na wasomi wa afya ya jamii imeonyesha kuwa vinywaji vya energy drink vinasababisha damu ishindwe kufika kwenye moyo (acute myorcardial infarction) inayosababisha shambulio la moyo (heart attack) ambapo upelekea kifo.
Tuendeleee kulinda afya zetu, atleast utumie moja kwa week au uache kabisa.