Hii ndo maana ya timu ya Wananchi....ni mwendo wa tuzo tu
Rais wa Klabu Eng Hersi Said Leo amepokea Tuzo Maalum kutoka kwa Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kwa kuwa Taasisi ๐ข๐ง๐๐ฒ๐จ๐ญ๐๐ฆ๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐ ๐๐๐ฌ๐ฆ๐ข na Wizara ya Afya katika uchangiaji wa damu.
Kwa mwaka 2023 pekee, Young Africans Sports Club Imechangia Chupa 627 za damu
Hii ndio Maana halisi ya ๐๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐๐๐ง๐๐ง๐๐ก๐ข [emoji109]
NB: Makolo....mnahesabu lakini???[emoji23][emoji23]
View attachment 2657399