Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Jamaa sio mjinga, kwanza ni msomi, pili michezo ya kimafia anaijua, tatu anazunguka na timu ili kuwa karibu nayo, nne, sio mpigaji, tano, injinia anapenda sana sifa, sita, anaonekana kabisa ana uchungu na yanga.
Mimi kiukweli huyu Engineer japokuwa na ushabiki wangu lia lia kwa Simba ananivutia sana, jamaa ana mipango mingi na ya kiufundi, yeye haangalii ushabiki, kama ww una mapenz na Simba na unaweza kufanya kazi Yanga anakupa ajira lkn hakuingizi jikoni, mfano zungu pori, yuko yanga lkn mambo ya jikoni hashirikishwi ila anaambiwa tu atoe siri za kule alikotoka.
Eng.Hersi, kokote uliko,mimi mwana Simba kindaki ndaki nimefurahishwa sana na.mipango yako had ukaiondoa Club Africain ya Tunisia, kikosi hiki cha Yanga kwa hapa afrika cjui kama kuna wa kuwasumbua, endelee kuijenga yanga na kutufundisha sisi Simba maana tumekuwa kama mazuzu, we wachezaji wetu eti.Kibu, Nyoni, Bocco, Quattara, Akpan, Gadiel, Kanoute tunamsifia kumuita Putin wakat uchezaji wake aa kizamaaaani, cjui Mkude, Jimmson, Peter Banda.
Upuuzi mtupu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Mimi kiukweli huyu Engineer japokuwa na ushabiki wangu lia lia kwa Simba ananivutia sana, jamaa ana mipango mingi na ya kiufundi, yeye haangalii ushabiki, kama ww una mapenz na Simba na unaweza kufanya kazi Yanga anakupa ajira lkn hakuingizi jikoni, mfano zungu pori, yuko yanga lkn mambo ya jikoni hashirikishwi ila anaambiwa tu atoe siri za kule alikotoka.
Eng.Hersi, kokote uliko,mimi mwana Simba kindaki ndaki nimefurahishwa sana na.mipango yako had ukaiondoa Club Africain ya Tunisia, kikosi hiki cha Yanga kwa hapa afrika cjui kama kuna wa kuwasumbua, endelee kuijenga yanga na kutufundisha sisi Simba maana tumekuwa kama mazuzu, we wachezaji wetu eti.Kibu, Nyoni, Bocco, Quattara, Akpan, Gadiel, Kanoute tunamsifia kumuita Putin wakat uchezaji wake aa kizamaaaani, cjui Mkude, Jimmson, Peter Banda.
Upuuzi mtupu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app