Eng. Hersi atoa tiketi za bure kwa watu wasioona

Eng. Hersi atoa tiketi za bure kwa watu wasioona

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Screenshot_2023-11-29-10-56-15-384.jpg


Eng Hersi ametoa tiketi kwa wanachama wa tawi la wasiyoona hapa kinondoni kushuhudia mchezo wa Al Ahly. Eng Hersi ameahidi haya kwenye uzinduzi wa tawi hilo jipya lenye wanachama 138 wasiyoona
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga kufungua tawi hapo haina tofauti na CHADEMA au CCM wangefanya hivyo. Hiyo ni taasisi inayojitegemea isiyofungamana na upande wowote kwenye masuala yote ambayo watu wana mitazamo tofauti, sasa inakuwaje hao Al Shabaab wameruhusiwa kuweka hayo mawe yao hapo mbele?
 
Back
Top Bottom