AahaaaaaWanaona mioyoni.
Wangekua wazungu mngesifuSasa hawa hawaoni wakiingia wataenda kushuhudia nini? Offer nyingine ni changamoto sana
Wameomba wenyewe hata mm nimeshangaa lkn kumbe nao wanahisia yakujumuishwaSasa hawa hawaoni wakiingia wataenda kushuhudia nini? Offer nyingine ni changamoto sana
Watu tu wanashindwa kuelewaWangekua wazungu mngesifu
Wanaenda kusikilizia milio😁😂😂😂😂wanaenda kusikiliza
Utasugulia ulimiWanakupa ofa ya mswaki wakijua hauna meno. [emoji23]
Kiongozi anajua ata wasio ona wanawapendwa wao, watawapatia izo ticket wakashuhudie mchezo na kuwaletea mrejesho.Wanakupa ofa ya mswaki wakijua hauna meno. [emoji23]
Angewapa hela za hizo tickets wafanye matumizi yaoWatu tu wanashindwa kuelewa
Jamaa katoa tiketi za bure ili wakashuhudie sio wakaone.
Ila mkifunngwa tu lazima waone maumivu
Wakashuhudie au wakasikilize?Kiongozi anajua ata wasio ona wanawapendwa wao, watawapatia izo ticket wakashuhudie mchezo na kuwaletea mrejesho.