Barbra sio rais au mwenyekiti.Hata babra akitaka nae si aende tu tena amchukue na mo kabisha shida iko wapi hapo?
Sio uwanjani tu, hata kambini haachii mtu wala kamati 😆Mbona ni kawaida tu, tena poa kabisa. Yanga ni timu ya mpira, rais wake kuwepo uwanjani Yanga ikicheza ndio inavyotakiwa.
Kwa hili alipaswa apongezwe.
Andre mtineBarbra sio rais au mwenyekiti.
Nje ya mada: Hivi Yanga nao wana CEO? Kama yupo anaitwa nani?
Uyo ni raisi wa club. Watu wana work from home wewe unadhani mpaka mtu akae ofisini ndo unajua anafanyakaziHuyu mwamba kila mahali timu inaenda na yeye yumo! safari yoyote ya timu na yeye yumo? anakaa saa ngapi ofisini?
Amekuomba lini mchango wa nauli kumlipia kwenye izo safari? Maana naona unampangia namna ya kuendesha maisha yake na timu yakeHuyu mwamba kila mahali timu inaenda na yeye yumo! safari yoyote ya timu na yeye yumo? anakaa saa ngapi ofisini?
Huyu mwamba kila mahali timu inaenda na yeye yumo! safari yoyote ya timu na yeye yumo? anakaa saa ngapi ofisini?
We unadhani inawezekana kumpa Ali Kamwe bahasha aifikishe kwa wahusika? Kwenye pesa haaminiwi mtu hata kidogo.Sasa we kinakuuma nini?
Hata babra akitaka nae si aende tu tena amchukue na mo kabisha shida iko wapi hapo?
Sasa atakayetoa bahasha ni nani akikaa kigambini