Eng Hersi Said analitaka Jimbo la Kinondoni

Eng Hersi Said analitaka Jimbo la Kinondoni

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi

Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa,

Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa Africa na kutwaa ubingwa wa Tanzania mara thelathini na Kuna dalili ya kuendelea kuwa bingwa

Inasemakana mamlaka za juu zilimuita na kumhitaji katika siasa na kumuahidi akiwa mbunge Moja Kwa Moja atakuwa waziri wa wizara nyeti kama waziri wa fedha au utalii au waziri wa madini

Kila kitu kipo wazi huku ikionekana wazi kuwa mbunge wa Sasa wa Kinondoni Abbas Talimba hana Nia ya kugombea na yeye ndo ataenda kuwa Rais wa Yanga

Eng Hersi anamalizia muhula wake wa uongozi ndani ya Yanga na atamwacha Abas Tarimba ambaye agombee kuwa Rais wa Yanga na Nina Imani atapita na Rais wa Yanga atakuwa Abbas Tarimba ambaye aliwahi kushika wadhifa huo ndani ya Yanga

Tunamwombea kura za ndiyo Eng Hersi Said za ubunge wa Kinondoni kutoka Kwa wana Kinondoni

Kila la heri Eng Hersi Said katika safari yako ya siasa
 
Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi

Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa,

Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa Africa na kutwaa ubingwa wa Tanzania mara thelathini na Kuna dalili ya kuendelea kuwa bingwa

Inasemakana mamlaka za juu zilimuita na kumhitaji katika siasa na kumuahidi akiwa mbunge Moja Kwa Moja atakuwa waziri wa wizara nyeti kama waziri wa fedha au utalii au waziri wa madini

Kila kitu kipo wazi huku ikionekana wazi kuwa mbunge wa Sasa wa Kinondoni Abbas Talimba hana Nia ya kugombea na yeye ndo ataenda kuwa Rais wa Yanga

Eng Hersi anamalizia muhula wake wa uongozi ndani ya Yanga na atamwacha Abas Tarimba ambaye agombee kuwa Rais wa Yanga na Nina Imani atapita na Rais wa Yanga atakuwa Abbas Tarimba ambaye aliwahi kushika wadhifa huo ndani ya Yanga

Tunamwombea kura za ndiyo Eng Hersi Said za ubunge wa Kinondoni kutoka Kwa wana Kinondoni

Kila la heri Eng Hersi Said katika safari yako ya siasa
Rais wa yanga anapata maslahi makubwa kuliko mbunge asijejidandanya maana kwenye upande wa uwaziri anaweza asiupate kama kimei aliahidiwa na hajapewa mpaka leo
 
Rais wa yanga anapata maslahi makubwa kuliko mbunge asijejidandanya maana kwenye upande wa uwaziri anaweza asiupate kama kimei aliahidiwa na hajapewa mpaka leo
Mimi kama mwanasimba na mpiga kura wa jimbo hilo sitampa kura yangu huyo Rais wa vyura.
 
Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi

Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa,

Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa Africa na kutwaa ubingwa wa Tanzania mara thelathini na Kuna dalili ya kuendelea kuwa bingwa

Inasemakana mamlaka za juu zilimuita na kumhitaji katika siasa na kumuahidi akiwa mbunge Moja Kwa Moja atakuwa waziri wa wizara nyeti kama waziri wa fedha au utalii au waziri wa madini

Kila kitu kipo wazi huku ikionekana wazi kuwa mbunge wa Sasa wa Kinondoni Abbas Talimba hana Nia ya kugombea na yeye ndo ataenda kuwa Rais wa Yanga

Eng Hersi anamalizia muhula wake wa uongozi ndani ya Yanga na atamwacha Abas Tarimba ambaye agombee kuwa Rais wa Yanga na Nina Imani atapita na Rais wa Yanga atakuwa Abbas Tarimba ambaye aliwahi kushika wadhifa huo ndani ya Yanga

Tunamwombea kura za ndiyo Eng Hersi Said za ubunge wa Kinondoni kutoka Kwa wana Kinondoni

Kila la heri Eng Hersi Said katika safari yako ya siasa
Ccm hii yenye walafi mashuhuri ikupatie jimbo kirahisi kiasi hiki?
 
Huyu jamaa ni mzawa wa wapi ya ni mtanzania mwenzetu naomba kufahamishwa hilo
 
Anamaliza uongozi wake kwa aibu ya kutolewa makundini huko CAF na kushindwa kuchukua kikombe chochote msimu huu.

Yanga msimu ujao itakuwa rojorojo saana. Pona yenu ni kuivunja timu na kuanza upya ila mkiendelea na hawa wachezaji waliojichokea sijui kina Diarra, Boka, Bacca, Aucho, Mkude, Chama, Aziz Ki, Pacome, Dube hamtafika popote nawaambia.
 
Anamaliza uongozi wake kwa aibu ya kutolewa makundini huko CAF na kushindwa kuchukua kikombe chochote msimu huu.

Yanga msimu ujao itakuwa rojorojo saana. Pona yenu ni kuivunja timu na kuanza upya ila mkiendelea na hawa wachezaji waliojichokea sijui kina Diarra, Boka, Bacca, Aucho, Mkude, Chama, Aziz Ki, Pacome, Dube hamtafika popote nawaambia.
Tokea lini adui yako akakushauri njia nzuri ya kufanikiwa🙂😀
 
Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi

Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa,

Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa Africa na kutwaa ubingwa wa Tanzania mara thelathini na Kuna dalili ya kuendelea kuwa bingwa

Inasemakana mamlaka za juu zilimuita na kumhitaji katika siasa na kumuahidi akiwa mbunge Moja Kwa Moja atakuwa waziri wa wizara nyeti kama waziri wa fedha au utalii au waziri wa madini

Kila kitu kipo wazi huku ikionekana wazi kuwa mbunge wa Sasa wa Kinondoni Abbas Talimba hana Nia ya kugombea na yeye ndo ataenda kuwa Rais wa Yanga

Eng Hersi anamalizia muhula wake wa uongozi ndani ya Yanga na atamwacha Abas Tarimba ambaye agombee kuwa Rais wa Yanga na Nina Imani atapita na Rais wa Yanga atakuwa Abbas Tarimba ambaye aliwahi kushika wadhifa huo ndani ya Yanga

Tunamwombea kura za ndiyo Eng Hersi Said za ubunge wa Kinondoni kutoka Kwa wana Kinondoni

Kila la heri Eng Hersi Said katika safari yako ya siasa
Kongwa sio Kinondoni....
 
Back
Top Bottom