Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

Ndio haujawa wewe sasa. Kamuulize Mbowe na ubishi wake mbona alikubali kufutiwa kesi
 
Tena akijidai anataka kuchukua siku nyingi kuonesha ugumu inaweza kuja kum cost.

Raisi pamoja na mamlaka yake lakini amerumia busara kuwasilisha kwa mfumo wa ombi.

Sasa yeye akii treat ile kauli kama ombi na kwamba majibu yanaweza kuja kwa namna mbili atakuwa amefanya wrong move.
 
Ndio haujawa wewe sasa. Kamuulize Mbowe na ubishi wake mbona alikubali kufutiwa kesi
Wao ni wao ila mimi ni mwamba aiwwzi kukubali nipate msamaha au maslahi wakati sijasafishwa bado kutokana na tuhuma.
 
Ko wachezaji wote hivi sasa kwenye mikataba yao wawe nakipengele hiko ili wakiona hawataki kuendelea na klabu zao basi wabadilishe TABIA au WAISALITI timu ili waachiwe huru kirahisi..?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Christian Ronaldo wa Manchester United alivyoona Kocha wake anamnyanyapaa alivunja mkataba kwa kuzingatia hivyo vipengele. Na akaondoka vizuri tu.

Chukulia kama hakungekuwa na vipengele vya kumruhusu kuondoka angeishi vipi Manchester United.

Moja ya lengo la kuweka sheria za mikataba ni kurahisha maisha kwa kutoa haki kwa pande zote mbili.
Ajira sio Jera hadi ukitaka kuondoka usiweze hadi mwisho wa mkataba.
 
Na akileta ujuaji atajikuta karudishwa Mogadishu mtaani kwao kabisa alipozaliwa baba yake mzazi[emoji3][emoji3].Ombi la Mama lazima litekelezwe na mrejesho anausubiri. Wapemba wanaupiga mwingii hadi unamwagikia [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Raisi simamia misingi na kanuni za upatikanaji wa Ardhi.

Anaye omba Ardhi kwa maneno mwambie ufuate kanuni za upatikanaji Ardhi.

Pia simamia kanuni zote za ulipaji kodi kwa wafanyabiashara. Maneno kama hatukubanii si ya kuyatamka kama Kiongozi.
Kila shughuri ina kanuni zake za kufuata.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Samia asivuke mipaka ipi?

Iyo issue ya zFei imeishaa. Next season yupo hapa hapa Dsm
 
Ndiyo muelewe kwa nini FIFA inakataza serikali kuingilia mambo ya mpira wa miguu. Mlikata miuno kupewa ndege,mamilioni ya magoli na kualikwa kwenda kufakamia pilau la ikulu. There is no free dinner.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeamua nitunze hii kumbukumbu kabla haujaiedit
 
Hii comment yako imemaliza Kila kitu naweza SEMA ume cement everything....

Ni kusuka au kunyoa Kwa engineer
 
Shabiki kutoka Tandahimba mna shida Sana ..
Unamuagiza msomali ashindane na Rais??....
Mashabiki oya oya ndo muelimishwe ..
Ndio maana waliitwa Wala mihogo, hiyo GSM ili biashara zake zishamiri lazima Aishi vizuri na Serikali na ili Yanga wakale pilau Ikulu na sio mihogo lazima GSM atekeleze matakwa ya mama.
Wala mihogo wawe wapole tu ikifika jioni tumuone Feisali viwanja vya Azam akiwa na Azam football club.
 
Kwani nani alimuomba atupatie ndege?
Kwani nani alimuomba incentives za magoli?

Hawezi kulaghai taasisi kwa dinner ya Milioni 200.
Mngegoma kupanda tuone, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…