Eng. Hersi tembeza mshiko kwa wachambuzi kuwapoza, hali ni tete

Eng. Hersi tembeza mshiko kwa wachambuzi kuwapoza, hali ni tete

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20221104-063529_Chrome Dev.jpg

Wachambuzi wamechachamaa, wanapiga spana kila wakati. Hata wale wanaokupamba na kuopamba Yanga wamewageuka.

Machawa wako kimya, wamemwacha Afisa Habari analialia peke yake.

Sasa nakushauri fanya kama kawaida. Watie chochote kitu kabla mambo hayajawa mazito. Usipofanya hivyo kuna hatari huko mbele naiona. Nasema hivyo kwa sababu ajenda za kukupiga ni nyingi sana na hutoweza kuzijibu hasa ukizingatia ukweli kwamba umewekwa na huna uwezo.

Halafu wape hela vijana wa propaganda watengeneze propaganda mapema ili wailipue baada ya kipigo cha Tunisia.

Ni hayo tu kwa leo
 
View attachment 2406284
Wachambuzi wamechachamaa, wanapiga spana kila wakati. Hata wale wanaokupamba na kuopamba Yanga wamewageuka.

Machawa wako kimya, wamemwacha Afisa Habari analialia peke yake.

Sasa nakushauri fanya kama kawaida. Watie chochote kitu kabla mambo hayajawa mazito. Usipofanya hivyo kuna hatari huko mbele naiona. Nasema hivyo kwa sababu ajenda za kukupiga ni nyingi sana na hutoweza kuzijibu hasa ukizingatia ukweli kwamba umewekwa na huna uwezo.

Halafu wape hela vijana wa propaganda watengeneze propaganda mapema ili wailipue baada ya kipigo cha Tunisia.

Ni hayo tu kwa leo
Wanaumia hivyo na hawajatolewa. Wakitolewa mazima wataumiaje?

Maumivu haya ni ya sasa hivi au wameyavuta na ya baadae?
 
Back
Top Bottom