Duh! Sasa nini hiki umeandika Mkuu?kupoteza hela tu na fix kedekede. Jengeni uwanja boresheni ofisi za timu. Jali maslah ya wachezaji,tafuteni mbinu za kuepuka utegemezi kwa wafadhili
Duh! Sasa nini hiki umeandika Mkuu?
Sorry lakini
labda Adam Nditi aliyewahi kupita Chelsea
Labda england ya katavi