Eng Hersi wakati anaenda Al ahly kuanzisha ushirikiano wengi mliponda, kaeni kwa kutulia

Eng Hersi wakati anaenda Al ahly kuanzisha ushirikiano wengi mliponda, kaeni kwa kutulia

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Tarehe 1/3/2024 jamaa alienda na viongozi wake wote wa yanga pale CAIRO makao makuu ya al ahly kujifunza mbinu na mikakati ya ushindi hatua ya mtoano pamoja na kuanzisha mahusiano ya kimichezo. wengi jana mmeshangaa niwakumbushe tu kuwa style aliyotumia al ahly kumkanda simba juzi ndio style hiyo hiyo aliyotumia yanga jana kumpooza mamelod. niwaambie tu kuwa kaeni mguu sawa parade ndio limeanza rasmi jana tutegemee suprise mambo mazuri zaidi.
 
Mashabiki feki wa Mamelodi mpaka muda huu hata hawaamini kama kweli Yanga iliidhibiti hiyo timu yao, huku ikiwakosa wachezaji wake muhimu watatu wa kikosi cha kwanza.
 
Tarehe 1/3/2024 jamaa alienda na viongozi wake wote wa yanga pale CAIRO makao makuu ya al ahly kujifunza mbinu na mikakati ya ushindi hatua ya mtoano pamoja na kuanzisha mahusiano ya kimichezo. wengi jana mmeshangaa niwakumbushe tu kuwa style aliyotumia al ahly kumkanda simba juzi ndio style hiyo hiyo aliyotumia yanga jana kumpooza mamelod. niwaambie tu kuwa kaeni mguu sawa parade ndio limeanza rasmi jana tutegemee suprise mambo mazuri zaidi.
popoma bwana unajitekenya na kujichekesha mwenyewe mi id mingi ya nin afu apo apo unajifanya shabiki wa simba na yanga kwa wakati mmoja
 
Mangungu yeye anaenda kujifunza kwa coastal union..
 
Back
Top Bottom