not good for fuel consuption due to old tech3s ni nzuri cheki Toyota noah
Old engine high consumption vipi ikiwa mpya?not good for fuel consuption due to old tech
Kwanza weka picha ya hio vista tuioneKuna gari Toyota vista nauziwa,mwenye gari ananiambia kwa majigambo ya kwamba engine ya hiyo gari ilisumbua akanunua engine mpya ya 3s,je hii engine inafaa kwa kiasi gani nmlipe pesa ya gari?
mkuu inatwanga only 10k per litreOld engine high consumption vipi ikiwa mpya?
10km/l? Mbn ni reasonable bossmkuu inatwanga only 10k per litre
hiyo ni highway mkuu,misele ya mjini unajua itapiga ngapi?10km/l? Mbn ni reasonable boss
Aise kwelihiyo ni highway mkuu,misele ya mjini unajua itapiga ngapi?
hyo gari yake ingefungwa 2ZR ya toyota fielder au wish angefurahia10km/l? Mbn ni reasonable boss
Sema mm sielewi masuala ya ma engine ila nadunda na 2.4l diesel land cruiser sijawahi jutahyo gari yake ingefungwa 2ZR ya toyota fielder au wish angefurahia
na wewe ni joni madhambi?Aise hii avatar inaniharibia sana🤣🤣 hata pisi sipati
Ahahaha ni vile namkubali tu mwamba na harakati zakena wewe ni joni madhambi?
ni twin cam yenye ribon nyekundu?all 3s ingine hazina fuel consuption nzuri,angalia customer reviers za watu mitandaoniKama ni engine ya 3s twin Cam....inakula sana sana mafuta...haifai!....nilinunua gari yenye engine hiyo caldina model ya 1999 ...nilijuta!
ipo pia kwenye celicaKama ni engine ya 3s twin Cam....inakula sana sana mafuta...haifai!....nilinunua gari yenye engine hiyo caldina model ya 1999 ...nilijuta!