Mech engineer
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 354
- 472
Inahusiana vipi na swali?Wewe ni engineer wa nini?
hahahahahaInjiniaaaaaa kamoni men, sooooooma hiyooo
Ndio inawezekana mkuuHabari wakuu, Hivi unaweza kugundua engine inayo misfire kwa kusikiliza mlio wa gari? Specifically ambalo hujawahi kuliendesha
Ndio inawezekana mkuu
Ni gari aina gani??.hahahahaha lkn mkuu umeuliza swali ambalo nikikujibu utasema au nitaonekana mm mhuni unajua ukiuliza kihuni utajibiwa kihuni??..hivi nikikujibu NAMASIKIO nitakuwa nimekosea??.Kivipi mkuu
Hujakosea lakini ungeongezea masikio yanasikia sauti gani ili yajue hii ni misfiring kwa gari yeyote 4 cylinder ama 6 cylinderNi gari aina gani??.hahahahaha lkn mkuu umeuliza swali ambalo nikikujibu utasema au nitaonekana mm mhuni unajua ukiuliza kihuni utajibiwa kihuni??..hivi nikikujibu NAMASIKIO nitakuwa nimekosea??.
Inakuwa kama tingatingaIdling yake haiko tulivu
Unachokitafuta mkuu kinawezekana kwa mtu fundi na anayeijua gari..lkn kwa mwingine ni ngum labda awe anaifaham gari husika au kaizoea ndio itakuwa rahisi..Hujakosea lakini ungeongezea masikio yanasikia sauti gani ili yajue hii ni misfiring kwa gari yeyote 4 cylinder ama 6 cylinder