Engine Oil Flush na Fuel Cleaner Injector

Engine Oil Flush na Fuel Cleaner Injector

Mr_Teacher

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2021
Posts
362
Reaction score
343
Wajumbe naomba ushauri, Kuna watu huwa wanashauri kuwa unapokarbia kumwaga/kubadili Engine Oil basi uweke Engine Oil Flush dkk chache (wkt Gari inawaka) kabla ya kubadili Engine Oil, inasemekana inasaidia kusafisha Engine vzr kila Kona. Lakini Kuna wanaosema hii kitu si nzuri itaua Engine, je ukweli ni you wadau?

Lakini pia Kuna ushauri kuhusu kuweka Fuel Cleaner Injector ktk tank la Mafuta kilaunapotaka kuweka/kujaza mafuta, je hii ni kwa mafuta yoyote au mtu akitumia mafuta mazuri Kama ya kwenye Total, PUMA, n.k inakua haina haja? Asante
 
Kwa ninavyofanya mie kwenye gari zangu ikifika zaidi ya 100K+ miles hapo huweka oil flush mara hio moja tu basi. Hii husaidia kusafisha ule oil unao bakia pia kwenye fluid injection huweka kila baada ya miezi 6(mwaka mara 2) tu. Na wakati naweka hio fluid injection hujaza mpaka half tank ndio naweka na kumalizia mpaka full tank. Lakini kila mmoja na ujuzi wake na anavyo fanya juu ya Gari yake


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kwa ninavyofanya mie kwenye gari zangu ikifika zaidi ya 100K+ miles hapo huweka oil flush mara hio moja tu basi. Hii husaidia kusafisha ule oil unao bakia pia kwenye fluid injection huweka kila baada ya miezi 6(mwaka mara 2) tu. Na wakati naweka hio fluid injection hujaza mpaka half tank ndio naweka na kumalizia mpaka full tank. Lakini kila mmoja na ujuzi wake na anavyo fanya juu ya Gari yake


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

The ending was perfect my fellow lunatic [emoji2957] hahahahaaa. Wakati mwingine naulizaga watu humu jukwaani “why soo serious” changanya mawazo na utani kidefuse tension kidogo

Dont take it from me though....

Am a lunatic [emoji2957][emoji2957]
 
Kwa ninavyofanya mie kwenye gari zangu ikifika zaidi ya 100K+ miles hapo huweka oil flush mara hio moja tu basi. Hii husaidia kusafisha ule oil unao bakia pia kwenye fluid injection huweka kila baada ya miezi 6(mwaka mara 2) tu. Na wakati naweka hio fluid injection hujaza mpaka half tank ndio naweka na kumalizia mpaka full tank. Lakini kila mmoja na ujuzi wake na anavyo fanya juu ya Gari yake


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwa nlivyokuelewa Kaka ukiweka Oil flush kila baada ya 100K+ Miles ni Kama unaweka Oil flush kila unapomwaga oil sio? Asante umeniongezea kitu hapo kwenye Fluid injection kumbe sio Lazima kuweka kila unapoweka Mafuta
 
Kwa nlivyokuelewa Kaka ukiweka Oil flush kila baada ya 100K+ Miles ni Kama unaweka Oil flush kila unapomwaga oil sio? Asante umeniongezea kitu hapo kwenye Fluid injection kumbe sio Lazima kuweka kila unapoweka Mafuta

Hapana ikifika miles laki na kitu ndio hufanya hivyo kawaida mimi hubadilisha oil(synthetic oil)kila 5,000 mile(elfu tano miles). Kwahio mfano nanunua gari ina 2,000 mile baada ya miaka 4 au 5 ndio inaweza kufika hio laki na kitu inategemea na safari zangu na hio gari. Mfano Gari ya wife ina miaka 3 sasa sijaifanyia mpaka sasahivi, kwasababu uendeshaji wake sio wa safari ndefu.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hapana ikifika miles laki na kitu ndio hufanya hivyo kawaida mimi hubadilisha oil(synthetic oil)kila 5,000 mile(elfu tano miles). Kwahio mfano nanunua gari ina 2,000 mile baada ya miaka 4 au 5 ndio inaweza kufika hio laki na kitu inategemea na safari zangu na hio gari. Mfano Gari ya wife ina miaka 3 sasa sijaifanyia mpaka sasahivi, kwasababu uendeahaji wake sio wa safari ndefu.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Aah, nmekusoma Kaka. Asante sana
 
Back
Top Bottom