5w30Kwahiyo mkuu huwa unaweka aina gani ya oil
Kwa sehemu zetu za tropic hiyo oil haina madharaKimsingi sioni madhara ya moja kwa moja ila, itafanya gari iwe nzito kidogo; wakati unaiwasha utaweza kusikia kama inasinsia kidogo ndio iwake pia inaweza kuifanya isichanganye haraka ukiendesha. Hiyo oil ni ya Engine kubwa.
Ili usipate hasara unaweza kuitembelea hata kms 1000 halafu mwaga badilisha oil na filter yake....gari itakuwa mahali yake
Nimekupa vizuri sna mkuuKwa sehemu zetu za tropic hiyo oil haina madhara
Namba za mwanzo 20w humaanisha viscosity ya oil na namba za mwisho 50w humaanisha viscosity ya oil ikiwa wa moto
Kwa maana hiyo tofauti Kati ya sae 20w 30 na sae 20w 50 ni vicsocity ya oil ikiwa ya moto.when cold oil hizi zinafanana utendaji.
50w oil kwa joto la dar city centre with AC on,ni kama bonus kwa engine
Kuna uwezekano kabisa ikawa Oil hasa kama tatizo lilianza/liliongezeka baada ya service.
usikubali kupeleka gari service bila kujua ni oil namba ngapi na ya kampuni gani unataka gari yako iwekwe; Labda kwa fundi ambaye amesha jua unachokitaka. mafundi wengi hawana elimu ya oil wao huangalia tu; oil ya Petrol na Oil ya Diezel. Wakati oil za Petrol zipo nyingi na za Diezel pia. Oil ni kitu muhimu sana kwenye gari.....
Ninavyo jua hiyo inatumia 5w20 synthetic oil ( ihope engine yake ni zaidi ya cc 2000)
kwa engine below cc 2000; tumia 5w30 au 5w40 Synthetic
Kwa huku kwetu naona Oil za total zina matokeo mazuri
Unatakiwa uende kununua mwenyewe kwenye petrol station za total oil na filter unazohitaji.Usiende kuzikutia Garage.Oil za total nimeona dar kuna mchezo unafanyika kwenye magereji, wanaikota madumu ya lita 5 na wanaenda kujaza tena
Mkuu hebu nisaidieni nimenunua 2003 Nissan Xtrail NT30 nimebadilisha majuzi kuweka hiyo oryx axcella 400 (20w-50).Gari yako ya mwaka gani?
Thanks againKwa sehemu zetu za tropic hiyo oil haina madhara
Namba za mwanzo 20w humaanisha viscosity ya oil na namba za mwisho 50w humaanisha viscosity ya oil ikiwa wa moto
Kwa maana hiyo tofauti Kati ya sae 20w 30 na sae 20w 50 ni vicsocity ya oil ikiwa ya moto.when cold oil hizi zinafanana utendaji.
50w oil kwa joto la dar city centre with AC on,ni kama bonus kwa engine
Ipo sawaMafundi au yoyote mwenye utaalam na hizi gari zetu ndogo naomba kujua oil nzuri ya kutumia kwenye engine....
Mara nyingi huwa natumia hii hapa vip ni nzuri hii.
View attachment 1655092
Upo sahihi. ApprovedMkuu hebu nisaidieni nimenunua 2003 Nissan Xtrail NT30 nimebadilisha majuzi kuweka hiyo oryx axcella 400 (20w-50).
Hapo ukut kawekewa oil ya manual wakati gari ni autoKuna uwezekano kabisa ikawa Oil hasa kama tatizo lilianza/liliongezeka baada ya service.
usikubali kupeleka gari service bila kujua ni oil namba ngapi na ya kampuni gani unataka gari yako iwekwe; Labda kwa fundi ambaye amesha jua unachokitaka. mafundi wengi hawana elimu ya oil wao huangalia tu; oil ya Petrol na Oil ya Diezel. Wakati oil za Petrol zipo nyingi na za Diezel pia. Oil ni kitu muhimu sana kwenye gari.....
No iliyoandikwa kwenye oil zote za total sio km zinazotakiwa kwenda bali ni jina la oil zao kibrand na namna ya kuzitofautisha kwa sababu oil zao nyingi ni quartz hivyo wakaona waongeze na no ili kutofautisha sokoni na kuondoa kero kwa wateja,kama gari yako ni hizi za kizalendo (ndogo) weka 5w40 kutoka Total - hiyo ni synthetic
unatemebea kms 5000 hivi; pamoja na kuwa wao wameandika kuwa unaweza kutembea hadi kms9000
Thanks alot broNo iliyoandikwa kwenye oil zote za total sio km zinazotakiwa kwenda bali ni jina la oil zao kibrand na namna ya kuzitofautisha kwa sababu oil zao nyingi ni quartz hivyo wakaona waongeze na no ili kutofautisha sokoni na kuondoa kero kwa wateja,
somo la oil limeshajadiliwa sana humu ndani na kwa upana wake, ushauri tu kwa watu wenye magari yao ambayo yametengenezwa kuanzia 2000 kuja huku juu na hayajafikia kutembea km 150,000 au kwa lugha nyepesi yana km chini ya 150,000 unashauriwa utumie synthetic oil zenye viscosity zifuatazo 5w30, 10w30, 5w40, 10w40 na hizi ni kwa gari zote za petrol hasa za Asia Ila kwa gari za ulaya Kuna zinazotumia diesel ambazo zimeshauriwa kuwekwa hizo oil viscosity na mfano wake ni Benz BMW nk
lakini Kama gari yako ina above km 150,000(High mileage) unashauriwa kutumia 15w40, 20w50, 10w60 na sae40 kwa gari za petrol
na wale wanotumia magari ya diesel wanashauriwa kutumia 15w40, 20w50(magari ya turbo na yasio na turbo ) na sae 40
kwa uhitaji wa oil unayoiitaji na ushauri +255719263074
Atapata hasara kivipi mkuu kwa kutumia oil 20W50?? wapi 20W50 imekuwa recommended kwa engine kubwa tu? Engine oil 20W50 kiuhalisia inaweza kutumika kwa gari yeyoteKimsingi sioni madhara ya moja kwa moja ila, itafanya gari iwe nzito kidogo; wakati unaiwasha utaweza kusikia kama inasinsia kidogo ndio iwake pia inaweza kuifanya isichanganye haraka ukiendesha. Hiyo oil ni ya Engine kubwa.
Ili usipate hasara unaweza kuitembelea hata kms 1000 halafu mwaga badilisha oil na filter yake....gari itakuwa mahali yake