shegacool2015
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 394
- 133
Habari za asubuhi wana jamvi...
Naomba kujuzwa madhara yakuzidi engine oil kwenye gari...namaanisha ikiwa ikezidi kile kipimo cha full...
illegal migrant RRONDO #mchana jrThanks...asante sanaa kwa comments..hilo nimeli remark Leo bada ya kuona gari yangu ikitoa Moshi mweupe asubuhi..nilivo check oil nikakuta inazidi juu, nilivofanya service last week sikukagua mana Fundi namuamini...kwahiyo nifanye vp kupunguza? Or inabidi nimwage oil yote??
illegal migrant RRONDO #mchana jrThanks...asante sanaa kwa comments..hilo nimeli remark Leo bada ya kuona gari yangu ikitoa Moshi mweupe asubuhi..nilivo check oil nikakuta inazidi juu, nilivofanya service last week sikukagua mana Fundi namuamini...kwahiyo nifanye vp kupunguza? Or inabidi nimwage oil yote??
Thanks...asante sanaa kwa comments..hilo nimeli remark Leo bada ya kuona gari yangu ikitoa Moshi mweupe asubuhi..nilivo check oil nikakuta inazidi juu, nilivofanya service last week sikukagua mana Fundi namuamini...kwahiyo nifanye vp kupunguza? Or inabidi nimwage oil yote??
moshi mweupe ni dalili moja,hapo oil inapanda hadi kusipotakiwa....fungua SUMP PLUG na uipunguze OIL kiasi fulani then pima dip stick uone ipo level gani....sio lazima umwage yote ingawa kumwaga yote ingekuwa uhakika zaidi. una gari gani???
moshi mweupe ni dalili moja,hapo oil inapanda hadi kusipotakiwa....fungua SUMP PLUG na uipunguze OIL kiasi fulani then pima dip stick uone ipo level gani....sio lazima umwage yote ingawa kumwaga yote ingekuwa uhakika zaidi. una gari gani???
Toyota funcargo
Na inaweza kua ring piston nazo zimechoka au zimekakamaa maana haya magari used mara nyingi huwa na tabia ya ring piston na valve seal kukamaa kwa hiyo hurusu oil kuingia kwenye chamber ya piston.
hio haizidi engine oil lita 4 tu....fundi akikuwekea aweke lita 3 pima kwanza kwenye dip stick then amalizie kuweka hio moja kama itakuwa haijajaa
Na inaweza kua ring piston nazo zimechoka au zimekakamaa maana haya magari used mara nyingi huwa na tabia ya ring piston na valve seal kukamaa kwa hiyo hurusu oil kuingia kwenye chamber ya piston.
Toyota funcargo
Ntajuaj Kama ni ring piston,?
Pamoja na moshi mweupe gari itapoteza compression
Ha ha haaaaa acha vituko kakaNi kama mtu aliyevaa viatu vilivyotoboka akatembea kwenye kokoto au mchanga wakati wa jua kali sana anakosa msukukumo wa kwenda haraka pamoja na kutumia nguvu mingi kujongea