Injini bila fundi inafika laki tano mpaka sita,Mimi nipo Tabora mkuu, ninahitaji nipate ushauri nijue na gharama pia ili nione namna ya kufanya, kama gharama zitakuwa juu sana ni bora nikaachana nayo nikanunua pikipiki nyingine.
Unaijua alibaba kweli...? Kule hawauzi kwa reja reja....Nenda alibaba.com search specification ya injini unayotaka...ukipata chunguza bei yake, unaweza kuwasiliana na muuzaji wa injini hiyo atakupa gharama za kufikisha injini hiyo Tanzania, hiyo gharama ya bei na usafiri jumla yake ongeza asilimia 87 ya kodi, ushuru na faida. Jumla kuu ndiyo itakuwa bei ya chini kabisa unayoweza kupata hapo Kariakoo...mara nyingi bei itakuwa zaidi ya hapo kama wauzaji wa kariakoo watakuwa hawajaingiza mzigo kimagendo. Sasa kokotoa gharama za kuifuata injini Kariokoo ukitokea Tabora....hiyo ndiyo itakuwa gaharama halisi ya injini uitakayo ya boxer.
mara mbili nimetumia mtando huo kununua vifaa vya rejareja...kuanzia laki mbili na kuendelea. tena vifaa kuanzia kimoja na kuendelea kwa mwaka huu na mwaka juziUnaijua alibaba kweli...? Kule hawauzi kwa reja reja....
Nenda alibaba.com search specification ya injini unayotaka...ukipata chunguza bei yake, unaweza kuwasiliana na muuzaji wa injini hiyo atakupa gharama za kufikisha injini hiyo Tanzania, hiyo gharama ya bei na usafiri jumla yake ongeza asilimia 87 ya kodi, ushuru na faida. Jumla kuu ndiyo itakuwa bei ya chini kabisa unayoweza kupata hapo Kariakoo...mara nyingi bei itakuwa zaidi ya hapo kama wauzaji wa kariakoo watakuwa hawajaingiza mzigo kimagendo. Sasa kokotoa gharama za kuifuata injini Kariokoo ukitokea Tabora....hiyo ndiyo itakuwa gaharama halisi ya injini uitakayo ya boxer.
Inawezekana kabisa kuweka ya fekon, haina garama napia spea zake ninafuuWadau habari~
Naomba msaada wa kujua bei ya engine ya pikipiki aina ya boxer maana chassis bado ni mpya kabisa lakini engine imekufa kutokana na matumizi mabaya ya kijana aliyekuwa anaitumia. Kuna rafiki yangu alinishauri kuwa ninunue engine ya FEKON nifunge kwani zinaingiliana sina hakika sana na hili naomba ushauri kwa mwenye uelewa please tusaidiane.
Vp ulifikia wapiNashukuru sana mkuu, nitafurahi kama utakuwa unaelewa bei ya engine ya fekoni tujuzane mkuu.