Wadanganyika at their bestJana nmemsikiliza kwa makini Hersi akitoa speech pale ikulu, sikutamani kabisa amalize, very composure and calm.
Huyu jamaa ni big brain, ana kipawa cha uongozi, mama ampe kitengo aisaidie nchi, hadhi yake ni kubwa kuliko kukaa na vilaza huku kwenye mpira wetu unaoendeshwa kihuni huni!View attachment 2647734
Aisee polepopote mama atapoweka atapiga kazi, hichi ni kipaji, ananikumbusha mzee wetu mwl. Nyerere, what a speech!
Kuna sehemu inaendeshwa kihuni zaidi ya huko unapotaka aende? Labda tu umeamua kujitoa fahamupopote mama atapoweka atapiga kazi, hichi ni kipaji, ananikumbusha mzee wetu mwl. Nyerere, what a speech!
Wewe hufai? huna big brain?popote mama atapoweka atapiga kazi, hichi ni kipaji, ananikumbusha mzee wetu mwl. Nyerere, what a speech!
Umeipenda personality yake au umependeaa...hahah nakuelewa!Mi nampendaga tu injinia.😍
Mitanganyika bana!
Acha tu sijui hata nampendea nini🤣🤣🤣 nimevurugwa tu.Umeipenda personality yake au umependeaa...hahah nakuelewa!
Mzaramo huyo wa Kisarawe....msomali gani mdomo unafumba🤣🤣🤣Si ni msomali huyu au wanamsingizia...
Yaani apelekwe serikalini akafanye kazi na wahuni wasio na vision? Kuna sehemu ya hovyo kuliko serikalini?popote mama atapoweka atapiga kazi, hichi ni kipaji, ananikumbusha mzee wetu mwl. Nyerere, what a speech!
Umempenda alivyo handsome, usivunge mamy K😀😀😀 akikugusa naamini utakuwa hoi😀Acha tu sijui hata nampendea nini🤣🤣🤣 nimevurugwa tu.
🤣 kumbe wazaramoMzaramo huyo wa Kisarawe....msomali gani mdomo unafumba🤣🤣🤣