Engineer Hersi anafanya uongozi wa soccer uwe mgumu

Simba ya Barbra ilifika fainali CAF?
Natafuta rekodi za Barbra nakuta hakuna hata Moja zaidi ya zile zile alizozikuta sema ye alikuwa anajua kuweka shamra shamra za kuvaa kofia na Kila siku kulia ananyanyaswa
 
Jamaa yupo vizuri sana🙏🔥tumpe nchii kabisa 2025. Tutafika mbali Tz!! Jamaa yupo serious amenyooka ni hazina kwa Taifa awekewe ulinzi.
 
Jamaa yupo vizuri sana[emoji120][emoji91]tumpe nchii kabisa 2025. Tutafika mbali Tz!! Jamaa yupo serious amenyooka ni hazina kwa Taifa awekewe ulinzi.
Hahaha hapana watampa Jimbo Kisha waziri wa michezo ambapo ataendelea na kofia zote mbili yani Rais wa yanga na waziri wa michezo kwa nchi bado hadi Samia amalize mihula yake 2035
 
Hapo umepasua, Eng. anaharibu timu yangu ya Simba! Yupo serious na soka
 
Hapo umepasua, Eng. anaharibu timu yangu ya Simba! Yupo serious na soka
Jamaa anampa task nzito sana kajuna kwa Sasa yuko SA anavunga anasajili kule kumbe usajili halisi unafanyika Asec Kuna striker Yao inatua Jangwani ikiwafata jamaa zake ambao Sasa ni regular kwenye first 11
Kazini kwa Musonda Kuna kazi
 
Watu kama hao hawapewagi nafasi barani Africa ni baahati kuwepo hapo. Africa inapenda machawa chawa hivi, walaji walaji sio watu wenye maono.
Nikuhamishe kwenye mada. Hivi Dangote si ndioo alifaa awe raisi wa nchi ya Nigeria jwa mambo anayoyadanya kakini anaweza kupewa nafasi na chama, ni hapana! Vyama vya watu wa Africa havipendi watu wenye maono.
 
Dangote mara kadhaa amekataa kujihusisha na siasa ila angetaka anakuwa Rais asubuhi kumbuka hata rais wa Sasa wa Nigeria ni tajiri sana tena billionaire
Ukija kwa upande wa soccer la tff yes kama Hersi ataendelea hivi kwa miaka 7 mengine basi atakuwa amejenga mazingira mazuri ya sio TU kuwa rais wa tff Bali waziri kabisa wa michezo
 
Kwa Sisi tunaoujua Mpira WA Simba na Yanga tunasema ni upepo tu kwa sasa Ila mda ukifika ukabadili uelekeo huo upepo basi kuna Sehemu nyingi tutaziona na madhaifu ya Yanga yataonekana.
 
TINUBU ni kibaraka na inasemekana alikuwa na genge la wahalifu USA drugs cartel.
TINUBU ni kibaraka wa wazungu, mali zake zipo ulaya akizingua wanafunga mirija ndio maana hakohoi kwa wazungu.
Amewapa wazungu bomba la gesi wakati Africa tunamahitaji ya gesi kuliko hata hao wazungu.
TINUBU ni kichaa na wanaijeria hawantaki alipita kimagumashi kwa msaada wa America.
 
Kwa Sisi tunaoujua Mpira WA Simba na Yanga tunasema ni upepo tu kwa sasa Ila mda ukifika ukabadili uelekeo huo upepo basi kuna Sehemu nyingi tutaziona na madhaifu ya Yanga yataonekana.
Ila kwa Sasa Yanga ni imara tena imara sana kumbuka chini ya uongozi huu yanga ni finalist wa cafcc na Sasa kaingia group stage baada ya miaka mingi kupita kashinda treble mara mbili mfululizo kampiga mtani goli 5 tena kwenye mzunguko wa ligi (kitu adhimu sana hiki) wote wakiwa wanawania usukani wa kuongoza ligi
Kumbuka hapa Simba alikuwa na mechi kama sikosei 17 na zaidi bila kupoteza mechi
Brother huu uongozi umeijenga yanga maombi yangu ni wasilewe sifa wakajisahau
 
Brother tuna kiongozi afrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara asiye kibaraka!?
Yote usemayo ni sawa ila hata dangote associate wake wengi wa kibiashara ni wazungu na sio wa Afrika tena hapendi hata kuwasikia zaidi ya kufanya nao kazi maana ndio waliopo japo ma MD wake wengi ni wahindi
Kumbuka alitaka kuinunua arsenal wakati Nigeria Kuna vilabu vingi TU vingehitaji uwekezaji wake ila hataki
 
Huyo mtoto wa Miyomboni Singida hamna kitu ni tapeli tu
Ungejua Singida Ina karama sana ya uongozi hata usingesema refer kwa Mwigulu,Kitila,Mo dewj na Sasa Hersi na ukienda BOT hao jamaa wamejaa hatari wakiongozwa na kina Meku
 
Mganga gani brother watu wanasafiri Kila pande ya Afrika ili kuiboresha team we unaongelea mganga!
Acheni hizo Wanasimba
jumapili akina azizi ki Walsingham uwanjani saa 9 wakaanza kuzunguka zunguka kwenye magoli.unajua walikuwa wanafanya nini?.zile 5 mganga Ana zake 4
 
Timu inaongozwa na wazee unategemea nini? Hakuna damu changa pale, hizo B3 iliyotumika kwenye usajili wa simba angepewa Hersi ungeona value for money
 
jumapili akina azizi ki Walsingham uwanjani saa 9 wakaanza kuzunguka zunguka kwenye magoli.unajua walikuwa wanafanya nini?.zile 5 mganga Ana zake 4
[emoji23][emoji23]we jamaa wale walikuwa wanaangalia uwanja kuona kama unachezeka Sasa kutoka na marekebisho yaliyofanyika ndio wakagundua hapa mbona mwake ndio kusema walete kati
Hapakuwa na uchawi Wala uganga
 
Timu inaongozwa na wazee unategemea nini? Hakuna damu changa pale, hizo B3 iliyotumika kwenye usajili simba sngepewa Hersi ungeona value for money
Ndio shida inapoanzia wale kwa Sasa wanapaswa kucheza na wajukuu na kudai Kodi ya frame zao uongozi unapaswa kuwa wa 35-50 mwisho
Sema njaa ndio shida
 
[emoji23][emoji23]we jamaa wale walikuwa wanaangalia uwanja kuona kama unachezeka Sasa kutoka na marekebisho yaliyofanyika ndio wakagundua hapa mbona mwake ndio kusema walete kati
Hapakuwa na uchawi Wala uganga
Sisi watu wazima.hainq haja ya kudanganyana.MAAGANO YALE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…