Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI KWELI ANAMFAHAMU HAMISA MOBETO
Ndugu Engineer naona kaamua kumpa mpinzani Raila Odinga urais wa Taifa la Kenya badala ya William Ruto. Kalisema jina lake kwa utulivu na uhakika. Nawashauri wasiiweke tena Kenya kwenye mipango yao ya pre-season..
Tatizo hua hamsikilizi mnakibilia Ku comment kwanza hajamtaja Raila kama Rais wa Kenya amesema na amesema wamepokea mialiko nchi tatu moja ni ulaya sasa hapo kasema ulaya ni nchi alafu wewe mbugira unamzidi uelewa Hersi?Watu waongo waongo ndio walivyo. Umealikwa na Rais, tena wa nchi jirani tu hapo halafu haumjui unaishia kumtaja hasimu wake.
Kwanza tangu lini Ulaya ikawa nchi?
Watu wavivu kufikiriaYupo sahihi. Raila Odinga ni mlezi wa timu ya Gor Mahia, ambaye ndiye amemualika kuzindua uwanja wao ikiwa ni pamoja na kucheza mechi ya kirafiki.
Hivi umemsikiliza au unaongea kwa mawazo yako? Sio lazima kuonesha kwa watu kuwa ni jinsi gani ulivyo mze.mbe wa kutumia akili. Hakuna mahali alipotamka kuwa wamepewa mwaliko na raisi wa Kenya. Wewe na mleta uzi mnapotosha watu, Raila odinga ndiye anayeratibu mechi ya kirafiki kati ya Gormahia dhidi ya Yanga kwaajili ya uzinduzi wa uwanja wao uliopo Kisumu.Watu waongo waongo ndio walivyo. Umealikwa na Rais, tena wa nchi jirani tu hapo halafu haumjui unaishia kumtaja hasimu wake.
Kwanza tangu lini Ulaya ikawa nchi?
Ndio maana timu imeuzwa sababu ya majitu kama haya hawataki kusikiliza kazi ni kusema ndiooo kama wabunge wa CCMHivi umemsikiliza au unaongea kwa mawazo yako? Sio lazima kuonesha kwa watu kuwa ni jinsi gani ulivyo mze.mbe wa kutumia akili. Hakuna mahali alipotamka kuwa wamepewa mwaliko na raisi wa Kenya. Wewe na mleta uzi mnapotosha watu, Raila odinga ndiye anayeratibu mechi ya kirafiki kati ya Gormahia dhidi ya Yanga kwaajili ya uzinduzi wa uwanja wao uliopo Kisumu.
View attachment 3013610![]()
Gor Mahia in negotiation with Tanzanian powerhouse for prestigious friendly in Kisumu
The Tanzanian club is planning a friendly in Kisumu facilitated by Raila Odinga against top FKF Premier League side.www.pulsesports.co.ke
Kwa wewe umesikiliza vizuri kweli?Tatizo hua hamsikilizi mnakibilia Ku comment kwanza hajamtaja Raila kama Rais wa Kenya amesema na amesema wamepokea mialiko nchi tatu moja ni ulaya sasa hapo kasema ulaya ni nchi alafu wewe mbugira unamzidi uelewa Hersi?
Ushabiki unawafanya muwe Wapumbavu na wapotoshaji. Hersi kasema wamepata mwaliko toka Kwa Mzee wao Odinga, yeye ndo anajua Kwa nini Odinga kawaalika kufungua uwanja mpya Kwa ajili ya AFCON 2027. Wewe unayelazimisha waalikwe na Ruto ndo utueleze Kwa nini Raila asiwaalike?
Ndugu Engineer naona kaamua kumpa mpinzani Raila Odinga urais wa Taifa la Kenya badala ya William Ruto. Kalisema jina lake kwa utulivu na uhakika. Nawashauri wasiiweke tena Kenya kwenye mipango yao ya pre-season..
Hivi hajasema "serikali ya Mzee Odinga" au alijiumauma akabadili gia angani huku baadhi ya maneno yakiwa yameshatoka? Pia haujasikia akisema nchi mojawapo ni Ulaya?Hivi umemsikiliza au unaongea kwa mawazo yako? Sio lazima kuonesha kwa watu kuwa ni jinsi gani ulivyo mze.mbe wa kutumia akili. Hakuna mahali alipotamka kuwa wamepewa mwaliko na raisi wa Kenya. Wewe na mleta uzi mnapotosha watu, Raila odinga ndiye anayeratibu mechi ya kirafiki kati ya Gormahia dhidi ya Yanga kwaajili ya uzinduzi wa uwanja wao uliopo Kisumu.
View attachment 3013610![]()
Gor Mahia in negotiation with Tanzanian powerhouse for prestigious friendly in Kisumu
The Tanzanian club is planning a friendly in Kisumu facilitated by Raila Odinga against top FKF Premier League side.www.pulsesports.co.ke
Haya kasema furahi basi, kwani kuna mtu ana nongwa na kambi zenu za nje ya nchi? Bali walichokuwa wanahoji ni kuweka kambi nje ya nchi halafu hakuna mafanikio ya hizo kambi. Wewe furahia kambi wenzako wanafurahia makombe. Vipi mmeshapata muafaka juu ya mwekezaji wenu Mo na bodi zenu za Simba? Au umekuja kukimbilia habari za Hersi badala ya kuangaika na timu yenu iache malumbano.Hivi hajasema "serikali ya Mzee Odinga" au alijiumauma akabadili gia angani huku baadhi ya maneno yakiwa yameshatoka? Pia haujasikia akisema nchi mojawapo ni Ulaya?
Naona kebehi za Simba kuweka pre-season nje ya nchi hatutazisikia safari hii maana kuna watu wamealikwa URAYAAA.
Hivi hii itasaidia kupunguza migogoro mliyonayo Msimbazi?Et Engineer doesn't know the incumbent president of Kenya stupidity engineer from Utopoloni.
Nongwa mmekuwa nazo sana labda kama zitakata msimu huu. Pekua nyuzi kibao za nongwa zenu dhidi ya kambi za Simba nje ya nchi.Haya kasema furahi basi, kwani kuna mtu ana nongwa na kambi zenu za nje ya nchi? Bali walichokuwa wanahoji ni kuweka kambi nje ya nchi halafu hakuna mafanikio ya hizo kambi. Wewe furahia kambi wenzako wanafurahia makombe. Vipi mmeshapata muafaka juu ya mwekezaji wenu Mo na bodi zenu za Simba? Au umekuja kukimbilia habari za Hersi badala ya kuangaika na timu yenu iache malumbano.