Engineer Hersi Saidi ni nani haswa?

Mmakonde katolewa kwa mkopo Kwasababu za sheria, ligi ya kule wanaruhusiwa wachezaj wa kigeni 5 ambao tayari Mamelod ilikua nao
 

Wewe ni muongo.. horoya haina uwanja wake binafsi.. na hata kimalipo na uwekezaji kwa sasa horoya hamzidi simba asset na wala payment za wachezaji.. weka facts kwa ushahid. Umesema horoya ana uwanja.. utaje huo uwanja unaitwaje na uko mji gani tu google ili tuone kama kweli huo uwanja ni mali ya horoya au mali ya nani?
 
Hakunaga bahati ya hivi, wamecheza robo final msimu jana na juzi champions league .. msimu huu wako nusu Final Shirikisho ..

usichokijua kuhusu hawa jamaa, uwekezaji unaofanywa na Mo Simba, na pale Horoya unafanya hivyo hivyo, usidhan labda huu ni upepo, na msimu ujao watakuja hivi hivi
 
Nimekuelewa mkuu,na point yangu ni kwamba endapo usimamizi wa mauzo ya jezi ukifanywa kwa umakini na pesa yote ikaenda kuliko kusudiwa,hawa wawekezaji wana nafasi kubwa sana ya kurudisha gharama zao pamoja na faida kubwa tu juu.
Hatugombi wao kuchukua timu Ila faida wanapata haswa katika upande wa mauzo ya jezi kabla ya yote
 
Onyango hajlipwa miezi mitano.
 

Navyojua mimi horoya hana uwanja wake binafsi mechi zake za nyumbani anachezea uwanja wa taifa wa guinea unaitwa stade 28 September..

Umesema wana uwanja.. nimekwambia wewe muongo weka jina la uwanja umeleta screen shot ya nusu fainali..

Mimi hoja yangu kuhusu horoya na simba ya Mo dewji.. ni kwamba simba inatumia bajeti kubwa kuliko horoya katika gharama za uendeshaji wa timu na pia ina facilities za gharama kubwa kuluko horoya.. nikaweka mfano simba mo arena na hostel zake..

Wewe ukasema horoya wapo vizuri kuliko simba.. weka asset zao na hivyo viwanja vyao tuvione.. maana siku hizi kuna google kupata taarifa za ukweli rahisi
 
Ulikuja na Akili zako timamu huku, wapi nimesema hawana uwanja au wana uwanja? wapi nimezungumzia maswala ya uwanja? mimi na ww muongo ni nani?


wapi nimezungumzia ulingano wa simba vs horoya upande wa Assets

Interms of ubora horoya ni bora, wako top 10 wakati simba wako top 20

NB.. hakikisha mada zako zinaenda na mtu ulieulizana nae
 
Ulikuja na Akili zako timamu huku, wapi nimesema hawana uwanja au wana uwanja? wapi nimezungumzia maswala ya uwanja? mimi na ww muongo ni nani?

Hiyo quote uliyojibu kwa kuweka screen shot ulijibu hoja gani.. nenda kaisome hoja uliyoijibu hiyo quote ilihusu nini
 
Hiyo quote uliyojibu kwa kuweka screen shot ulijibu hoja gani.. nenda kaisome hoja uliyoijibu hiyo quote ilihusu nini
Ni sehemu ya mada zako huko juu kufananisha mafanikio ya Horoya au Simba kama bahati tu .. au sio ww??

Hiyo habari ya kuniambia mm muongo huo uongo wangu unatokana na nini ??
 
Mbona umekazania sana mambo ya uwanja?
Azam, Gwambina, mbona zina uwanja hata kabla ya Simba?
Rhino Academy Arusha mbona wana kiwanja fresh tu? Kwani hizi ni timu kubwa kuliko Juventus?
wewe unaijua budget ya Simba ni shilingi ngapi na ya Horoya ni shilingi ngapi?
Angalia mafanikio ya Horoya, halafu fananisha na Simba ndipo utajua Horoya is way better than Simba.
 
Mjadala ulianza vizuri kwa kujadili ombwe lililoo kwenye Soka Tanzania ...naona upotolo na mbumbumbu wameingiza na pumba zao!

Mleta mada ametaka kujua Said Hers ni nani? Hayo ya ombwe umeyaleta wewe! Haya turudi kwenye lengo la Thread Said Hers ni Nani?
 
Mpira unachezwa uwanjani ilikuwaje simba iliwatoa timu ya afrika kusini iliyokuwa na kipa aliyecheza world cup, ikawatoa zamalek waliokuwa mabingwa watetezi wa afrika, al ahly ya misri walifungwa taifa wakiwa na wachezaji wanaocheza kwa mkopo to EPL
hii pumba takataka kabisa halafu baada ya hapo mkachukus kombe?
nyie ndo mnafanya kina mo na gsm watuone mazuzu na kutufanya mitaji
 
Kuwa na uwanja sio issue mzee, Timu nyingi za Afrika ya kaskazini mfano All Ahly, Saula hazina viwanja. Huwa zinakodisha viwanja vya Serikali kwa miaka hata kumi(10).
Pamoja.
 
Upo sahihi lengo ni kuwa na 'Power' , power ni ulinzi mkubwa sana katika jamii.ndo maana MO haoni ajabu kusema " magufuli hoyeeeee ". Ili kuilinda nguvu yake kibiashara.
 
Upo sahihi lengo ni kuwa na 'Power' , power ni ulinzi mkubwa sana katika jamii.ndo maana MO haoni ajabu kusema " magufuli hoyeeeee ". Ili kuilinda nguvu yake kibiashara.
Neno power umelitendea haki, nilikosa neno la kuweka ili nieleweke zaidi.

Safi sana kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…