"Engineer" huyu kiboko...,

Anaye design jengo ni Archtect sio Engineer. Kazi ya Engineer ni kujenga kile alicho design Arch. Hii picha inawezekana imewekwa hivyo kwa kutumia graphix au hizo ngazi ni mapambo tu.
 
Anaye design jengo ni Archtect sio Engineer. Kazi ya Engineer ni kujenga kile alicho design Arch. Hii picha inawezekana imewekwa hivyo kwa kutumia graphix au hizo ngazi ni mapambo tu.

Duh bwana mkubwa naomba unisaidie kazi (role) za hawa watu katika ujenzi.

1. Archtect
2. Engineer (Consultant)
3. Contractor (Constructor)
4. Client
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…