Muntu Ya Pori
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 222
- 64
Habari zenu wana Jamvi. Naomba kujuzwa ipi ni kozi nzuri zaidi ya nyingine kati ya hizo tajwa hapo juu.
Natanguliza shukrani zangu.
Natanguliza shukrani zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu course zote mbili ni nzuri mimi nasoma agricultural engineering ni course nzuri sana ila hata geology ni nzuri sana hivyo soma kile unachopenda mkuuu!!
asante mkuu. Ila naomba kuuliza, vp loan possibility ni kubwa au ni kama kozi zingine tu?
Mwambie bhn aje SUA apige IWRE akutane na watata kama akina Mulengera Mpanduji Dr salim Baanda na wengine kibao