ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
hii comment ina ukweliwanasema mjiajiri ilhali wao wenyewe wamekimbilia kuajiriwa na serikali hhawawezi kutupa mfano hai.
Jamani mbona mimi ni engineer sijakaa sana mtaani na nimemaliza mwaka jana tu. Nimeshabadilisha kazi mara 2
Kwa kweli sisi wanafunzi tuliosoma engineering, tunaiomba serikali itupe ajira ya ualimu katika masomo ya science, maana tunazidi kuleta umasikini huku mtaani hamna kazi. Industry ni ndogo na imekuwa occupied,. Kuna zaidi ya 5000 jobless engineers, including mechanical, electrical, telecom, computer, industrial, chemical, mining, mineral etc. Serikali inapoteza pesa nying kutusomesha
Kwan wew umesoma nin...na wap..na ulikua na gpa ngap!? Au unatania watu hapa!?
Anapima upepo, si mkweri hata kidogo, hata wahandisi 200 wasio na kazi hawafiki
Kabisaaa! Labda computer engineers nakubali lakini sio wengi kihivo