W wakurochi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2017 Posts 2,647 Reaction score 2,951 Nov 19, 2019 #1 Sijui kama ipo tayari tujuzane ila mimi naona inahitajika baada ya kupata usumbufu wa kutosha. Ipo mashine ya chapati, maandazi, mikate, kukanda unga nk. Kama ipo ningependa kujua inapatikana wapi.
Sijui kama ipo tayari tujuzane ila mimi naona inahitajika baada ya kupata usumbufu wa kutosha. Ipo mashine ya chapati, maandazi, mikate, kukanda unga nk. Kama ipo ningependa kujua inapatikana wapi.
Holly Star JF-Expert Member Joined Aug 25, 2018 Posts 4,327 Reaction score 8,142 Nov 19, 2019 #2 wakurochi, Ipo mkuu huwa ni drill heavyduty inafungwa kutu kama mixer halafu you are ready to go
Aaron Arsenal JF-Expert Member Joined Jul 24, 2014 Posts 24,501 Reaction score 28,711 Nov 19, 2019 #3 Ipo Mechanical chuo cha Must wali design mwaka jana
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,474 Reaction score 125,866 Nov 19, 2019 #4 Ivi mabeberu hawajatengeneza hyo mashine....! Tungeiona sokoni..
Nyambiza jr JF-Expert Member Joined Oct 5, 2018 Posts 1,033 Reaction score 1,841 Nov 19, 2019 #5 Mabeberu hawali Ugali hili ndio tatizo lkn wangesha design Mwifwa said: Ivi mabeberu hawajatengeneza hyo mashine....! Tungeiona sokoni.. Click to expand...
Mabeberu hawali Ugali hili ndio tatizo lkn wangesha design Mwifwa said: Ivi mabeberu hawajatengeneza hyo mashine....! Tungeiona sokoni.. Click to expand...
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,474 Reaction score 125,866 Nov 19, 2019 #6 Nyambiza jr said: Mabeberu hawali Ugali hili ndio tatizo lkn wangesha design Click to expand... Hata hivyo wanakwama sana, wameshalowea sana huku kwetu na wanatuona kila siku tunakula ugali, walitakiwa wadesign watuuzie wapige pesa. Labda pia washaridhika na mbinu zingine za kutupiga pesa
Nyambiza jr said: Mabeberu hawali Ugali hili ndio tatizo lkn wangesha design Click to expand... Hata hivyo wanakwama sana, wameshalowea sana huku kwetu na wanatuona kila siku tunakula ugali, walitakiwa wadesign watuuzie wapige pesa. Labda pia washaridhika na mbinu zingine za kutupiga pesa