ENGLAND: Unai Emery ateuliwa kuchukua mikoba ya Mzee Wenger

PSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Duu makocha na wachezaji ndivyo maisha yao hayo,Mo salah alionekana hafai Chelsea akatolewa kwa mkopo Italy baadae akauzwa jumla klop akamuona anafaa washabiki wa Liver walimshangaa yeye akawaambia kwa mfumo anaotaka kuutumia atawasaidia leo hii ndio nyota hata hivyo PSG ipo vizuri tatizo ipo kwenye ligi isiyo na ushindani ndio maana UEFA wanapata tabu.
 
PSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Duu makocha na wachezaji ndivyo maisha yao hayo,Mo salah alionekana hafai Chelsea akatolewa kwa mkopo Italy baadae akauzwa jumla klop akamuona anafaa washabiki wa Liver walimshangaa yeye akawaambia kwa mfumo anaotaka kuutumia atawasaidia leo hii ndio nyota hata hivyo PSG ipo vizuri tatizo ipo kwenye ligi isiyo na ushindani ndio maana UEFA wanapata tabu.
 
Nani vile. Wameachana na Arteta?

Talksport wanasema Arteta kaitosa Arsenal baada ya kumpunguzia mamlaka ya maamuzi kwenye timu na pia bajeti ndogo ya usajili. Wameshindwa kufikia muafaka. Wanataka hadi usajili wamfanyie yeye akiwa na uamuzi kidogo juu ya usajili na kuuza wachezaji
 
Tatizo mna majina yenu mfukon
 
Sijapata kuona kocha boya kwenye ulimwengu huu kama huyu Unai
 
PSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Mourinho alionekana hafai chelsea ila madrid walimuona anafaa pia chelsea walimuona kinyesi ila manure wakamuona almasi,guadiola katimuliwa bayern ila city wakamuokota taja kocha gani asiyetimuliwa? Hayo ndio maisha ya soka......chelsea wanataka kumtimua conte ila kuna utitiri wa timu unasubiri wamdake........
 
Atleast wameenda kwa mtu aliyejaribiwa tayari. Kumpa Arteta, Henry au Viera ingelikuwa kamari mbaya sana na ingeback fire tu. Sio kila mtu ni Zidane au Pep.

Mkuu weewe umeandika point sana.
 
boss hii bado tetesi sio, I mean bado haijathibitishwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…