Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 587
- 276
nenda kwenye kituo cha The Aga khan Hospital upande wa njia ya kwenda hospital utaona English Fountain wanafundisha lugha kibao vizuri. Mi nilisoma kiswahili cha kuandika ndani ya mwez nikajua.
Nenda hapo mkuu
Mi nilisoma kiswahili cha kuandika ndani ya mwez nikajua.
Habari ndugu zangu,
Kwanza atangulisha shukrani zang wenu, mimi n kijana niliyemaliza khidato cha 4 kibaya zaidi ni katika awamu hii ya Mulugo, shida yangu natafuta mahali pazuri nisome Kozi ya kiingereza ya muda mfupi na ya ada nafuu. Tafadhali kwa anaejua sehemu ya uhakika wanapofundisha anisaidie. Nipo dsm.