OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jamaa aliyeonekana anakuja kuokoa jahazi, upepo ukamshinda naye akazama mazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaitikis tu Amina😀Nlienda sehemu Sala ya baba yetu uliye mbinguni.....ilipigwa kwa kingereza aisee sikuelewa chochote!😁
Amina ni huku uswahilini kwetu...Kuna namna wanatamka kama 'Aiymeeeen'Ukaitikis tu Amina😀
Journalist wetu hawaoni umuhimu wa kujifunza lugha nyingine. Journalist mzuri ni yule angalau anayejua lugha tatu za kumataifa.View attachment 3096041
Jamaa aliyeonekana anakuja kuokoa jahazi, upepo ukamshinda naye akazama
Tatizo linaanzia pale inapoonekana hiyo ni fani kwa ajili ya failures waliokosa alama za kutosha kusoma masuala mengineJournalist wetu hawaoni umuhimu wa kujifunza lugha nyingine. Journalist mzuri ni yule angalau anayejua lugha tatu za kumataifa.
Hii ni sababu kubwa. Mtu alipata alikuwa anafeli somo laTatizo linaanzia pale inapoonekana hiyo ni fani kwa ajili ya failures waliokosa alama za kutosha kusoma masuala mengine
Watanzania sisi ni malimbukeni sana. Tunadhani kuwa kuzungumza kiswahili chenye lafudhi ya kiiingereza na kuchanganya na maneno ya kiingereza basi ndiyo kuzungumza kiingereza. Ndivyo alivyofanya huya ''mwokoa jahazi''. Maneno na lafudhi ni anatamka kama mmarekani wakati anazungumza kiswahili.View attachment 3096041
Jamaa aliyeonekana anakuja kuokoa jahazi, upepo ukamshinda naye akazama mazima
Husikii wanavyotamka kiswahili kama waingereza?🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄Ni aibu kubwa sana mambo mepesi nanma hiyo wana shindwa
kuongea kwa Kiingereza.
Our father, who art in heven. Hallowed be thy name, thy kingdom come. Thy will be done on earth as it is in heven.Nlienda sehemu Sala ya baba yetu uliye mbinguni.....ilipigwa kwa kingereza aisee sikuelewa chochote!😁
Ahaaa haaa kwa hiyo anaamini mzungu atamuelewa maajabu kweliHusikii wanavyotamka kiswahili kama waingereza?🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Lafudhi.Watanzania sisi ni malimbukeni sana. Tunadhani kuwa kuzungumza kiswahili chenye dhafuli ya kiiingereza na kuchanganya na maneno ya kiingereza basi ndiyo kuzungumza kiingereza. Ndivyo alivyofanya huya ''mwokoa jahazi''. Maneno na dhafuli ni anatamka kama mmarekani wakati anazungumza kiswahili.
Asante sana.Lafudhi.