English medium schools zinapokuwa maficho ya wahamiaji haramu.

DREAMBOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
2,117
Reaction score
1,369
Hali inatisha katika jiji la mwanza, maswali kujiuliza, sijui wanaishi mtindo upi?
Hivi wanawork permit?
Je wanalipa kodi?

Wapo wanaodai ni wahaya kumbe ni waganda,
wapo wapo wanaozuga ni waluo au wakurya.

Sijui miji mingine ikoje? Hii ni hatari tuyaoilea muda waja tutakiona, infact one day we will regret
 
tuipende nchi yetu kuliko lugha ya kiingereza
 
Hapa Isamilo International school (Mwanza) kuna wazungu, waganda na wakenya wanakuja na Tourist visa ya miezi mitatu na wanapiga mzigo... nchi hii bwana... hata school manager ni mkenya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…