English Premiership: 2010-2011

Lampard amebakia jina tu..

umestukia? jamaa mzigo sana huyu anasubiri wenzake wamtafunie yeye ameze tu na kama kuna nafasi ya kumeza manake siku hizi malouda na drogba wana maliza kila kitu hawamuachii makombo.i hope capello atampiga chini timu ya taifa.
 
Ebwana hawa blackpool naona simchezo.Fulham ngoma yao ngumu.Mark Hughes akifanya mchezo anaweza kuaibika hapa.
 
Hivi 'vijamaa' mbn vyatoa easy penalties hvi? @#$%!
 
BTW; At the end of the day huwa naamini kuwa 'form is temporary while Class is permanent' hvi vitimu vitaenda weeeee!, ikifika mda vitaanza kujichuja vyenyewe. Ila honest, sina hakika na Tottenham at all, ushiriki wao wa CL, EPL, FA na Carling Cup sidhani kama wataweza himili mikikimikiki, watch out Man City, hawa jamaaa msimu huu sijui..
 
Ze Bluzz...!, nguvu ndo zaanza pungua taratibu au?..though hongera ingawa mechi was damn boring, naona vijana hawajawa ktk form mwanzoni mwa ligi hii.
 
spurs watakuwa wamegundua sasa simchezo kuwa kwenye champions league na premier league lool.nawakaribisha kwenye UKUBWA.
 
spurs watakuwa wamegundua sasa simchezo kuwa kwenye champions league na premier league lool.nawakaribisha kwenye UKUBWA.

Hawa jamaa (Tottenham), towards the end ya msimu jana walikuwa ktk FORM ila ila all n all hawana CLASS. Miscalculations za Mancini na es8ng8 wa Benitez uliwakosesha hiyo nafasi ya nne. CL, waingereza wakubali kuwa wana timu 3, Arsenals, Bluz na Devils. Mark my words fellas!
 
umestukia? jamaa mzigo sana huyu anasubiri wenzake wamtafunie yeye ameze tu na kama kuna nafasi ya kumeza manake siku hizi malouda na drogba wana maliza kila kitu hawamuachii makombo.i hope capello atampiga chini timu ya taifa.
Jamaa amedrop sana..mashuti yake fyongo, pasi hovyo na hiiv sasa anakosa hata penati maana confidence imeshaanza kushuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…