English tests

English tests

mzurisana

Senior Member
Joined
Jun 23, 2011
Posts
133
Reaction score
27
nimefanya applications kibao za kusoma masters abroad , ila nyingi wanahitaji niwe nimefanya english test (IGCSE, IELTS, INTO, TOEFL, etc) bt na me cjawahi fanya hiyo kitu, naulizia wapi ninaweza kufanya hy test, especially km kn za online links ambazo mnaona ni valid, na cio longo longo, au vyuo gan mnadhani naweza pata, na huwa unasoma kwa mda gani mpk kufikia kufanya test au unaweza fanya test bila kusoma kabla, na how much wanalipaga, n.b. nimeogopa kugoogle coz naona naweza pata links za uongo nikapay online afu ikala kwangu, niliambiwa zinafanyika pia british council, je, british council wana branches mikoani au ni kwa dar peke yake?
 
British embassy wanatoa.ila cjui gharama zake.
 
British council posta zote hizo utafanya kwa sk 1
 
Last time i cheked pale British Council kwa mitihani yao ilikuwa 300,000 na hiyo ilikuwa ni mwaka jana. na kwa nafasi kupata ni ngumu maana watu kibao wanafanya hiyo mitihani. kwa hiyo ujanja kuwahi ukishajua lini tena wataandikisha watu wapya.

UDSM kitivo cha lugha pia wanatoa mitihani hiyo. quite cheap i would say less than half of British Council's fee. lakini pia ilikuwa 2011 inaweza kuwa imepanda bei kidogo.

kwa mikoani nadhani ukienda kwenye public, reputable and reliable university/college utafanikiwa. lakini pia inategemea na ni mkoa upi upo.
 
Last time i cheked pale British Council kwa mitihani yao ilikuwa 300,000 na hiyo ilikuwa ni mwaka jana. na kwa nafasi kupata ni ngumu maana watu kibao wanafanya hiyo mitihani. kwa hiyo ujanja kuwahi ukishajua lini tena wataandikisha watu wapya.

UDSM kitivo cha lugha pia wanatoa mitihani hiyo. quite cheap i would say less than half of British Council's fee. lakini pia ilikuwa 2011 inaweza kuwa imepanda bei kidogo.

kwa mikoani nadhani ukienda kwenye public, reputable and reliable university/college utafanikiwa. lakini pia inategemea na ni mkoa upi upo.

Kwa vyuo vya nje, hapo penye red kujisumbua tu. Wenyewee wanataka IELTS,TOEFL, GMAT nk
 
Back
Top Bottom