Entrepreneurship Forum

Why pay for an invitation to attend for a business opportunity meeting? Can you elaborate is it a training or an invitation to join your organizations business opportunity? we need your clarification.
 
why pay for an invitation to attend for a business opportunity meeting? Can you elaborate is it a training or an invitation to join your organizations business opportunity? We need your clarification.

mzee mbona wewe semina za pale rombo hotel waga unachaji? Tatizo ni kuchaji au nini? Kwani ndo wakwanza kuchaji hapa tanzania?
Mbona watu kibao waha wanatoa kwenye magazet kama the guardian na huweka na ghalama za kongamano? Au huwa unashindwa kuwa pinga kwa sababu ni gazet?
Mimi c oni tatizo hapa kwa kulipia hizo ghalama. Mimi naona labda unaona kwamba wanaingilia anga zako
 
Tatizo siyo kuingilia anga mimi nilichokiona hii biashara ni sawa na biashara ya GNLD Tiashi na Forever living. Kwa taarifa yako wenzio huwa hawatozi kwenye mikutano yao kwa wale wapya wanaotaka kujiunga badala ya kulumbana na mimi ulipaswa kufafanua kama mkutano wako ni wa mafunzo au kutaka kuwaingiza watu kwenye ugavi? kama lengo ni kupata distributors kwa nini utoze pesa? hilo hujatueleza. Semina ya ujasiriamali Rombo ilikuwa free na kuna wana JF waliohudhuria na matangazo yangu yalikuwa yanaeleza kuwa semina ni free.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…