Environmental engineering au....... !!!!

Environmental engineering au....... !!!!

Sir.Chemi

Member
Joined
Mar 18, 2012
Posts
51
Reaction score
1
Hivi jamani nisaidieni eti kati ya kozi ya environmental engineering na land management and valuation ipi inalipa,na uwezekano wa kupata ajira serikarini?
 
Piga land valuation dogo,hiyo env engineering utasugua benchi hadi yesu arudi.
 
Sawa best lakini vipi hiyo land ina soko au nitasota mtaani kwanza?
 
duh huwezi amini nimekuta zote ziko 'not eligible' wakati ijumaa zilikuwa 'eligible' mi nimeamua kuziacha hivyo hivyo labda watanibadilishia kwasababu nimequalify zote
 
duh huwezi amini nimekuta zote ziko 'not eligible' wakati ijumaa zilikuwa 'eligible' mi nimeamua kuziacha hivyo hivyo labda watanibadilishia kwasababu nimequalify zote
 
duh huwezi amini nimekuta zote ziko 'not eligible' wakati ijumaa zilikuwa 'eligible' mi nimeamua kuziacha hivyo hivyo labda watanibadilishia kwasababu nimequalify zote

yani zote 8 au?
 
Elimu toka lini ikalipa? labda uwe mwizi utapoajiriwa. Kinacholipa ni biashara tu, kama unabisha muulize Bakhresa.

Ikiwa unaingia kwenye elimu ili ikulipe kimapato (materialistic) unajisumbuwa kusoma. Elimu inalipa sana. Kwa "inner satisfaction" na kuwa na michango ya maana kwa walimwengu kiasi cha kuwahudumia wengi na kuwafanya maisha yao yawe mazuri zaidi na sio kama unavyofikiria wewe.
 
apo tupia BVM wanakuchukua! hizo unazotaka wewe sina uhusiano na geography ambayo wewe huna!
 
Elimu toka lini ikalipa? labda uwe mwizi utapoajiriwa. Kinacholipa ni biashara tu, kama unabisha muulize Bakhresa.

Ikiwa unaingia kwenye elimu ili ikulipe kimapato (materialistic) unajisumbuwa kusoma. Elimu inalipa sana. Kwa "inner satisfaction" na kuwa na michango ya maana kwa walimwengu kiasi cha kuwahudumia wengi na kuwafanya maisha yao yawe mazuri zaidi na sio kama unavyofikiria wewe.

Sometimes Zomba sio Zombi
 
Back
Top Bottom